Bado SSC anayo Nafasi ya Kucheza Robo Fainali

Bado SSC anayo Nafasi ya Kucheza Robo Fainali

Hata kwa Mkapa Wydad anawafunga.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tena moto wa Wydad utakuwa wa kuni kavu kabisa, boli watakalopiga kwa Mkapa litakuwa halijawahi kuonekana maana wamempata 5imba Guvu moya kibonde wao kwenye kundi watamshindilia 5G!

Mimi niko paleeee Buza kwa Mpalanger kama kawaida nawasubiri mbumbumbu fc waje kushtaki baada ya kukandwa oohh refa kanunuliwa mara kocha hafai, mara tumekufa kiume, mara ooohh Baba Esther na Tshabalala wazee, mara ooh Ayoub kauzia mechi waarabu wenzake tuliona akiongea nao sana kule Morocco, kiufupi hatutaki lawama wala mshangao!!
5imba Guvu moyaaaa washaumaliza mwendo makundi hawatoboi!
Kipigo kiko pale pale j4!
 
Kwanza Wydad hawana kikosi cha ajabu, kuna game ya ugenini lazima apoteze.

SSC ijitahidi kushinda game zote za Home na akienda Asec kwa SSC hii, atafute ushindi au afanye droo.

Bado matumaini ni makubwa sana
Sawa ila simba anajinamizi la draw mechi za kimataifa,
 
Sawa ila simba anajinamizi la draw mechi za kimataifa,
Bro 5imba Guvu moyaaaa Ina majinamizi mawili sio moja tu la droo, umesahau jinamizi la pili la kufungwa dkk za nyongeza! 😭

Jana nyani alitapika bungo, ikawa utatoa utoi utatoa utoi msako wa karne wa namtaka mke wangu, mwishoni jamaa pumzi ikakata wakatoa aisee!

Na Putin hachezi marudiano kwa Mpalanger! samahani kwa Mkapa!
 
Nafasi ngumu wydad naye akishinda mechi zote ukiacha ya simba atakuwa na point 9 head to head itaamua

Kile kikosi sidhan kama atashinda game zote

Mechi na Asec anaweza ku draw pale kwake
 
Bro 5imba Guvu moyaaaa Ina majinamizi mawili sio moja tu la droo, umesahau jinamizi la pili la kufungwa dkk za nyongeza! [emoji24]

Jana nyani alitapika bungo, ikawa utatoa utoi utatoa utoi msako wa karne wa namtaka mke wangu, mwishoni jamaa pumzi ikakata wakatoa aisee!

Na Putin hachezi marudiano kwa Mpalanger! samahani kwa Mkapa!

Putin is not tte only player
 
Matumaini yanagoma kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Japo faraja ni muhimu kwa kipindi hiki kigumu.
 
Kwanza Wydad hawana kikosi cha ajabu, kuna game ya ugenini lazima apoteze.

SSC ijitahidi kushinda game zote za Home na akienda Asec kwa SSC hii, atafute ushindi au afanye droo.

Bado matumaini ni makubwa sana
Umebadili kauli baada ya kuona upepo wa robo fainali unavuma kueleka msimbazi.
 
Putin is not tte only player
Bro tumia hesabu ndogo, kumbe hukuona vizuri, jana kiufundi yule mwamba Putin ndo alishikilia bomba, alipotoka 5imba Guvu moya ikadedi na kukandwa dkk za jiooooni!
Putin na Kibu wanatufaa utopoloni👌
 
Mim ni Yanga lakini Simba ana nafasi zaidi kwenda robo kuliko Yanga.
Ipo hivi
Simba anapambania nafasi moja iliyobaki baada ya Asev kuchukua moja.

Nafasi ilibaki Simba anapambania na Waydad pekee , Waydad ambao ni wa kawaida na wamebakiza game moja pekee home.

Simba akimpiga Waydad Kwa Mkapa , akimpiga na Galaxy anakuwa amemaliza kaz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani Simba ina nafasi ila Yanga ambayo kundi lake hakuna hata mwenye point 6 hana nanfasi. Afu ni Shabiki wa Yanga?
 
Mim ni Yanga lakini Simba ana nafasi zaidi kwenda robo kuliko Yanga.
Ipo hivi
Simba anapambania nafasi moja iliyobaki baada ya Asev kuchukua moja.

Nafasi ilibaki Simba anapambania na Waydad pekee , Waydad ambao ni wa kawaida na wamebakiza game moja pekee home.

Simba akimpiga Waydad Kwa Mkapa , akimpiga na Galaxy anakuwa amemaliza kaz.
Umesahau Simba ana mechi away na ASEC Memosas
 
Wydad ameshapiga hesabu zake na kuona daraja la yeye kupona ni point 6 akazovuna kwa Simba na mpaka sasa ameshajichukulia point 3🤣🤣
 
Wote na Yanga watoke tu. Hawakujiandaa na awamu hizo. Haiwezekanj usubiri hali iwe mbaya ndio ujitume
 
Hawezi kutufunga TAIFA trust me , na hajawahi kutufunga Taifa

Tuna nafasi zaidi ya asilimia 70 kusonga Mbele
2011 mlikula 3 taifa,wydad wakija watapak bus Kama nyie Jana,kwa kuwa nyinyi ndiyo mnahitaji ushindi,Sasa si unajua timu lenu likifunguka matundu kibao,ndo mtawekwa kilain
 
Back
Top Bottom