Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iliyotoka sare na Galaxy na kufungwa na Wydad ni Simba ipi? Sio ya sasa?Simba ya sasa inamfunga Asec
Mark my word
Kwahiyo Benchikha naye ni mzee wa objective football?Simba ya mzee wa Objective football
Tulia mkuu ukitaka namba nakupa za wengine wengi tu kikubwa uwe na chenchi.Nipe her number
Iliyo fungwa jana ni Simba ya lini?Simba ya sasa inamfunga Asec
Mark my word
Sawa mkuuPesa sio tatizo kwangu
Nina mshahara wa dola 6700 monthly
JF hakunaga asie na kaziPesa sio tatizo kwangu
Nina mshahara wa dola 6700 monthly
Timu inaonekana imebadilika sana, ila wakiongeza juhudi na umakini wanafuzu.Wait and see
Kwa mpira wa Jana Asec tunagonga hodi kwao
Na hutoamini
Muda utatoa jibu, ila Simba kufuzu kupo nje nje labda asitake tu.Iliyotoka sare na Galaxy na kufungwa na Wydad ni Simba ipi? Sio ya sasa?
Kwamba umemchukulia Asec ni vibonde kuliko Wydad na Galaxy?
Yanga inaingiaje hapa?Uliangalia mpira
Kocha wa Yanga ndio mzee wa Objective
Mkifungwa kwa Mkapa, sahau kumfunga Asec kwao ili mfuzu. Akili za wana Simba wengi ni kuamini kuwa Asec kwavile atakuwa amefuzu hatakuwa na presha kubwa ata relax, ni sahihi ila lazima kwanza uambulie point dhidi ya Wydad uwanja wa taifa.Muda utatoa jibu, ila Simba kufuzu kupo nje nje labda asitake tu.
Hakuna wa kumfunga tena Simba kwenye mechi zilizobaki, labda azembee tu.Mkifungwa kwa Mkapa, sahau kumfunga Asec kwao ili mfuzu. Akili za wana Simba wengi ni kuamini kuwa Asec kwavile atakuwa amefuzu hatakuwa na presha kubwa ata relax, ni sahihi ila lazima kwanza uambulie point dhidi ya Wydad uwanja wa taifa.
Kwanini unasema hakuna?Hakuna wa kumfunga tena Simba kwenye mechi zilizobaki, labda azembee tu.