Bado SSC anayo Nafasi ya Kucheza Robo Fainali

Bado SSC anayo Nafasi ya Kucheza Robo Fainali

Wote na Yanga watoke tu. Hawakujiandaa na awamu hizo. Haiwezekanj usubiri hali iwe mbaya ndio ujitume

Ila at some point. You are making sense. Hata wakitoboa hapa hawatoweza kufika nusu fainal. Watoke tu

Hawajajiandaa. Wakat wa sajili dream zao ni kufungana wao kwa wao
Badala za kufanya sajili za michuano ya kimataifa, na wangefanya sajili za kimataifa mtu kama mikison wala asingekuwa simba

Ameonesha kiwango gani huko alipotoka hadi kurudishwa? Mtu hana assist wala goli wala haijulikan anafanya nini na ndio naambiwa anakula mpunga mrefu kuliko wote

Leo wanataka kumleta Manzoki, sasa watu kama hawa wnaaakili…… mtu keshachoka hana ishu badala ya kuleta vipaji under age ili waweze hata kufanya biashara
Huyo manzoki anakuja kula pension

Sajili za majina na sio utendaji zimepitwa na wakati

Watoke wote hawajajiandaa
Wamewekeza kwenye social media kuliko uwanjani. Wote wana wasemaji ambao ni waimba taarabu
 
Kule tuna draw au kumfunga
We jamaa hufundishiki!!

Mwenzio kakuamsha na vuvuzela masikioni ila bado unapiga usingizi tu! We Bado umo tu, yani unataka kusema mtamfunga Asec kwao nyie ? Kweli kabisa na akili zako baba nani sijui unaamini ujinga? kama Jwaneng tu mmeshindwa na mmekandwa na Wydad , Asec mtawaweza Tena kwao? Kweli?

Mwalimu Kakwambia achana na kilimo cha makaratasi cha kusema mdomoni jembe halimtupi mtu huku hata bustani huna, mara oooh sisi ndo namba moja Africa, Pira objektiv huku mko mkiani kwenye kundi ila maskini hata hamjielewi, Ahmed Ally kweli kashika akili zenu za takwimu za CAF huku uwanjani zero!! Hapa Sasa naaamini kweli Thimba Guvu moya wote mbumbumbu kasoro mmoja tu Rage the Great!!
 
We jamaa hufundishiki!!

Mwenzio kakuamsha na vuvuzela masikioni ila bado unapiga tu usingizi tu! We Bado umo tu, yani unataka kusema mtamfunga Asec kwao nyie ? Kweli kabisa na akili zako baba nani sijui unaamini ujinga? kama Jwaneng tu mmeshindwa na mmekandwa na Wydad , Asec mtawaweza Tena kwao? Kweli?

Kakwambia achana na kilimo cha makaratasi Cha mdomoni sisi ndo namba moja Africa huku mko mkiani ila hata huelewi, Ahmed kweli kashika akili zenu!! Hapa naaamini kweli Thimba Guvu moya wote mbumbumbu kasoro mmoja tu Rage the Great!!

Wait and see

Kwa mpira wa Jana Asec tunagonga hodi kwao

Na hutoamini
 
Hata kwa Mkapa Wydad anawafunga.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
JamiiForums46325611.gif


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mim ni Yanga lakini Simba ana nafasi zaidi kwenda robo kuliko Yanga.
Ipo hivi
Simba anapambania nafasi moja iliyobaki baada ya Asev kuchukua moja.

Nafasi ilibaki Simba anapambania na Waydad pekee , Waydad ambao ni wa kawaida na wamebakiza game moja pekee home.

Simba akimpiga Waydad Kwa Mkapa , akimpiga na Galaxy anakuwa amemaliza kaz.
Galaxy anaweza kumfunga Asec nyumbani kwake, au Wydad,
 
FB_IMG_17021940678162428~2.jpg
simba kufuzu lazima ndio tunaongoza kundi wakati yanga wamecheza mechi 3 point 2. 😜🙄
 
Mim ni Yanga lakini Simba ana nafasi zaidi kwenda robo kuliko Yanga.
Ipo hivi
Simba anapambania nafasi moja iliyobaki baada ya Asev kuchukua moja.

Nafasi ilibaki Simba anapambania na Waydad pekee , Waydad ambao ni wa kawaida na wamebakiza game moja pekee home.

Simba akimpiga Waydad Kwa Mkapa , akimpiga na Galaxy anakuwa amemaliza kaz.
Kama wewe ni refa basi wameshazifunga timu zote wapo robo😅
 
Kwanza Wydad hawana kikosi cha ajabu, kuna game ya ugenini lazima apoteze.

SSC ijitahidi kushinda game zote za Home na akienda Asec kwa SSC hii, atafute ushindi au afanye droo.

Bado matumaini ni makubwa sana
ulipokosea huu uzi wako wa kupeana matumani hapo ulipose "ikijitahidi"
 
Ila twende mbele turudi nyuma. Waarabu wanajua kumuandaa mtu, dakika zote walikuwa wanamuandaa kisha wakamalizia[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mnyama ka andaliwa dakika 90 akaloa[emoji97][emoji97] [emoji97]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani Simba ina nafasi ila Yanga ambayo kundi lake hakuna hata q1q1mwenye point 6 hana nanfasi. Afu ni Shabiki wa Yanga?
Ukiangalia Kwa makini ndio ipo hivyo mkuu.

Kundi la Simba halina team yoyote Kali.

Kitendo cha Simba kuwa na games mbili Nyumbani ni advantage . Na kitendo cha hizo games za nyumban kuwa dhid ya Wydad na Galaxy ni Zaid ya advantage Kwan game ya mwisho ataenda kucheza na team yenye ticket tayar
 
Mim ni Yanga lakini Simba ana nafasi zaidi kwenda robo kuliko Yanga.
Ipo hivi
Simba anapambania nafasi moja iliyobaki baada ya Asev kuchukua moja.

Nafasi ilibaki Simba anapambania na Waydad pekee , Waydad ambao ni wa kawaida na wamebakiza game moja pekee home.

Simba akimpiga Waydad Kwa Mkapa , akimpiga na Galaxy anakuwa amemaliza kaz.
Umeona kuna timu ya kumpiga Wydad pale?
 
Ukiangalia Kwa makini ndio ipo hivyo mkuu.

Kundi la Simba halina team yoyote Kali.

Kitendo cha Simba kuwa na games mbili Nyumbani ni advantage . Na kitendo cha hizo games za nyumban kuwa dhid ya Wydad na Galaxy ni Zaid ya advantage Kwan game ya mwisho ataenda kucheza na team yenye ticket tayar
Timu kali unazipima kwa lipi? unategemea Simba atamfunga ASEC kwake?
 
Ukiangalia Kwa makini ndio ipo hivyo mkuu.

Kundi la Simba halina team yoyote Kali.

Kitendo cha Simba kuwa na games mbili Nyumbani ni advantage . Na kitendo cha hizo games za nyumban kuwa dhid ya Wydad na Galaxy ni Zaid ya advantage Kwan game ya mwisho ataenda kucheza na team yenye ticket tayar
Simba akifungwa na Wydad kwa Mkapa, atakuwa ana wakati mgumu kufuzu. Ili afuzu anatakiwa aanze kwa kumfunga Wydad
 
Back
Top Bottom