Hii nayo ni lugha ya wakoloni, usiitumie."When we have lost everything, including hope, life becomes a disgrace and death a duty"-Voltaire
“We must accept finite disappointment, but never lose infinite hope”-Martin Luther King Jr.
Pole mkuu,, unapoteza muda. Kama majina ya kuzaliwa tu, tumeyakataa na kuyanyanyapaa majina yetu ya asili na kujifaharisha kwa majina ya kiarabu na kizungu utumwa umenata kama gundi akilini kwa mtu mweusi. Unaweza kuzua ugomvi na kupigwa ngumu mjini kwa kimuita mtu jina lake la utotoni la asili unalolijua akidai umemdhalilisha.Tukiangalia majina karibia yote ya mikoa yana asili ya hapa kwetu iweje jiji kubwa nchini na Africa Mashariki tubaki kungangania jina la kikoloni lenye historia ya kitumwa ?
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said
Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."
Sultani Majid alikuwa akifanya biashara ya kikatili ya utumwa iliyomtajirisha, Bandari aliyotumia aliisifia kwa kuiita Dar Es Salaam, kwa tafsiri ya kiswahili ni bandari salama, alisafirisha babu na bibi bila bugudha ndio maana akapaita Dar Es salaam, sehemu ambazo babu zetu walifikia wamechapwa sana mijeredi, wamelimishwa sana mashambani, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao, utaowakuta ni waafrika waliohamia kuanzia miaka ya 70s Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
When you read this study you will understand the influence of arabic language in swahiliTukiangalia majina karibia yote ya mikoa yana asili ya hapa kwetu iweje jiji kubwa nchini na Africa Mashariki tubaki kungangania jina la kikoloni lenye historia ya kitumwa ?
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said
Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."
Sultani Majid alikuwa akifanya biashara ya kikatili ya utumwa iliyomtajirisha, Bandari aliyotumia aliisifia kwa kuiita Dar Es Salaam, kwa tafsiri ya kiswahili ni bandari salama, alisafirisha babu na bibi bila bugudha ndio maana akapaita Dar Es salaam, sehemu ambazo babu zetu walifikia wamechapwa sana mijeredi, wamelimishwa sana mashambani, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao, utaowakuta ni waafrika waliohamia kuanzia miaka ya 70s Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
YapNini maana ya Dar es Salaam?
Nimeona jina hili linatumika pia kwenye nchi kadhaa duniani hasa za Kiarabu.
Naunga mkono hojaTukiangalia majina karibia yote ya mikoa yana asili ya hapa kwetu iweje jiji kubwa nchini na Africa Mashariki tubaki kungangania jina la kikoloni lenye historia ya kitumwa ?
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said
Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."
Sultani Majid alikuwa akifanya biashara ya kikatili ya utumwa iliyomtajirisha, Bandari aliyotumia aliisifia kwa kuiita Dar Es Salaam, kwa tafsiri ya kiswahili ni bandari salama, alisafirisha babu na bibi bila bugudha ndio maana akapaita Dar Es salaam, sehemu ambazo babu zetu walifikia wamechapwa sana mijeredi, wamelimishwa sana mashambani, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao, utaowakuta ni waafrika waliohamia kuanzia miaka ya 70s Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Ni zoezi lisilokuwa na tija yoyote na kuna unafiki ndani yake! Vinginevyo, hata watu basi acheni kutumia majina ya wakoloni, slave masters! Majina kama vile Joseph, John, Peter, Mohamed, Omar, Hassan, etc hayana tofauti na jina “Dar es Salaam”. Yote ni legacy ya colonial and slave masters! Hata kitendo cha kuadhimisha siku ya uhuru ni kukiri kwamba we once were under colonial rule. Kwanini basi tusiache kuadhimisha hiyo siku?
Jumah kuna tofauti kati ya Bandarissalaam na Daarissalaam (Dar es Salaam)Dar es salaam kwa kishwahili ni "Bandari ya Amani"
Sioni logic ya kupambana kubadilisha jina moja la kigeni (Dar es Salaam) huku millions upon millions ya watu tukiendelea kuona fahari kujiita Jackson, Martin, Timothy, Hussein, Muhammad, Yusuf, etc. Equally important, why do we practice Christianity and Islam, which are just as foreign as the name Dar es Salaam? Bottom line: no cherrypicking!..Je, Sultani alipobadilisha jina la asili na kuita Dsm hakukuwa na unafiki ndani yake?
..Nchi kama Zimbabwe na Msumbiji zilizobadilisha majina ya kikoloni zilikuwa na unafiki?
..pendekezo lako kwamba Watanzania tuenzi majina yetu ya asili nakubaliana nalo kwa asilimia 100%.
..siku ya uhuru ni lazima isherehekewe kufanya hivyo ni kuenzi juhudi za wazee wetu kutafuta haki, na mamlaka kamili ya kujitawala.
Sioni logic ya kupambana kubadilisha jina moja la kigeni (Dar es Salaam) huku millions upon millions ya watu tukiendelea kuona fahari kujiita Jackson, Martin, Timothy, Hussein, Muhammad, Yusuf, etc. Equally important, why do we practice Christianity and Islam, which are just as foreign as the name Dar es Salaam? Bottom line: no cherrypicking!
That’s fantasy, my friend! Anzeni na jina Zanzibar basi, angalau linawakilisha upande wa pili wa nchi...kubadilisha jina la Dsm kunaweza kuwa hatua muhimu ktk safari ya kujitambua na nchi nzima kuachana na tamaduni za kigeni.
Mjomba yaani kuanzia 1960 hujapata mamlaka kamili..Je, Sultani alipobadilisha jina la asili na kuita Dsm hakukuwa na unafiki ndani yake?
..Nchi kama Zimbabwe na Msumbiji zilizobadilisha majina ya kikoloni zilikuwa na unafiki?
..pendekezo lako kwamba Watanzania tuenzi majina yetu ya asili nakubaliana nalo kwa asilimia 100%.
..siku ya uhuru ni lazima isherehekewe kufanya hivyo ni kuenzi juhudi za wazee wetu kutafuta haki, na mamlaka kamili ya kujitawala.
Mzizima cityTWENDE NA MZIZIMA
Lazima uheshimu babu walikutengenezea lugha ya kiswahili ambayo mnakitumiaWatu wanatoka uarabuni, wanakuta sehemu insitwa MZIZIMA halafu Yana badili na kuweka jina lao maenyeji ya wakati huo yamenyamaza tuu. Kweli Babu zetu walikuwa hamnazo
That’s fantasy, my friend! Anzeni na jina Zanzibar basi, angalau linawakilisha upande wa pili wa nchi.
Yes, linaweza kuitwa KILIMANJARO na mkoa wa Kilimanjaro ukaitwa MOSH.Tukiangalia majina karibia yote ya mikoa yana asili ya hapa kwetu iweje jiji kubwa nchini na Africa Mashariki tubaki kungangania jina la kikoloni lenye historia ya kitumwa ?
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said
Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."
Sultani Majid alikuwa akifanya biashara ya kikatili ya utumwa iliyomtajirisha, Bandari aliyotumia aliisifia kwa kuiita Dar Es Salaam, kwa tafsiri ya kiswahili ni bandari salama, alisafirisha babu na bibi bila bugudha ndio maana akapaita Dar Es salaam, sehemu ambazo babu zetu walifikia wamechapwa sana mijeredi, wamelimishwa sana mashambani, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao, utaowakuta ni waafrika waliohamia kuanzia miaka ya 70s Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Wow! Unajua asili ya jina Kilimanjaro? What makes pwani pwani and mwambao mwambao?Yes, linaweza kuitwa KILIMANJARO na mkoa wa Kilimanjaro ukaitwa MOSH.
Mkoa wa Pwani ukagawanywa, mkoa mmoja ukaitwa PWANI na mwengine ukitwa MWAMBAO.
Hapo kwenye lugha ndio usiongee, waliruhusu maneno mengi ya kiarabu na kutuaribia lugha yetu ya asili ya kibantuLazima uheshimu babu walikutengenezea lugha ya kiswahili ambayo mnakitumia
Au mngetumia kingereza kama nchi zinazotumia kifaransa
I think your ancestors were smatter than you they gave you a language
You have to thank them other calling them what you have call
Due to techinical difficulties, the User Nkaburu cannot respond to your post; Try later.Mkuu,
Nimekuuliza swali hujalijibu umelibrush off tu bila kulijibu. Sijui hata kama umwlielewa na umeelewa umuhimu wake kimantiki.
Kwani tukisema huyu rais kachaguliwa na Watanzania, huyo rais inakuwa lazima awe kachaguliwa na Watanzania wote?
Kwani haiwezekani Watanzania wengi wakamchagua rais, akawa kakubalika na Watanzania wengi na hivyo kiujumla akakubalika ndiye rais halali wa Tanzania, wakati hajachaguliwa na Watanzania wote?
Kukiwa na Watanzania 100 JF wanataka kubadili jina la Dar es salaam, halafu hao wengine wote zaidi ya milioni 65 hawajali hilo jambo, hapo mtu akisema Watanzania hawajali hili jambo utakataa kwa sababu kuna 100 wanajali?
Kwani kusema Watanzania hawajali ni lazima wasijali wote?
Tukisema Watanzania wamemchagua mtu kuwa rais ni lazima awe amechaguliwa na Watanzania wote?
Go back to your language we dont care, design your own language we don't careHapo kwenye lugha ndio usiongee, waliruhusu maneno mengi ya kiarabu na kutuaribia lugha yetu ya asili ya kibantu