Bado una ndoto za kuzamia Ulaya?

Bado una ndoto za kuzamia Ulaya?

Ulaya,Us,Australia, Canada, au New Zealand kama huna makaratasi utakuwa maskini wa kutupa

Hakuna nchi iliyopo ulaya ambayo kiwango chake cha umaskini kinaifikia nchi za Africa except South Africa

Just imagine Ukraine ikiletwa Africa ndio itakuwa nchi tajiri kuliko nchi yoyote

Narudia tena ulaya bila kuwa na vibali na documents you will end up in vain like zombie
Fact
 
Soon Ulaya itakuwa sawa na Tandale, maadamu waswahili washavamia huko.
 
Hao ndio wanatutisha na picha zao kwenye mitandao huko, yaani mtu anaona bora awe homeless kuliko kurudi Afrika hatari sana!!
 
Wale wanaofkiri kua Ulaya maisha ni mazuri wala huwezi kuteseka namna ambavyo tunateseka Afrika Acha niwajuze tuu hapo unapoona pichani ni nchini Ufaransa jijini Paris hebu tazama maisha ambayo wanayoishi [emoji51][emoji51][emoji51]

Kubwa zaidi ni pale mwamba hupigiwa sim Na ukoo wote ili atoe msaada kwa sababu tuuu yupo Ulaya [emoji3064][emoji3064]

#Tujuze

Hizo Picha mbili za mwisho kama Barcelona
 
Wale wanaofkiri kua Ulaya maisha ni mazuri wala huwezi kuteseka namna ambavyo tunateseka Afrika Acha niwajuze tuu hapo unapoona pichani ni nchini Ufaransa jijini Paris hebu tazama maisha ambayo wanayoishi 😬😬😬

Kubwa zaidi ni pale mwamba hupigiwa sim Na ukoo wote ili atoe msaada kwa sababu tuuu yupo Ulaya 🥺🥺

#Tujuze
Me soon naenda zangu Denmark siamin katika hayo kama unavibali na una file taxes na unajuud unatoboa.....
 
Wale wanaofkiri kua Ulaya maisha ni mazuri wala huwezi kuteseka namna ambavyo tunateseka Afrika Acha niwajuze tuu hapo unapoona pichani ni nchini Ufaransa jijini Paris hebu tazama maisha ambayo wanayoishi [emoji51][emoji51][emoji51]

Kubwa zaidi ni pale mwamba hupigiwa sim Na ukoo wote ili atoe msaada kwa sababu tuuu yupo Ulaya [emoji3064][emoji3064]

#Tujuze
Ila ngozi nyeusi ni jamii iliyokosa ustaarabu kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Afrika hata ukienda zako Morogoro .ukatafuta bonde heka 5 ukapanda miwa baada ya miaka 2 sio mwenzetu unakuja kuuza Dar vijjwe vya juice, au unafungua vijiwe vya kuuza juice ya miwa.
.Unapanda minyonyo, mibono,milonge,miarobaini baada ya miezi tu unakamaua mafuta unatengeza sabuni unauza.
.Una kijiwe wilayani cha kufyatua tofauti za kuchoma unachoma kwa oil chafu watu wanajenga KILA siku Mungu akupe nini.
.Unaenda porini unaangua mibuyu kisha unatengeneza unga na mbegu unakamua mafuta unauza.
.Unalima mihogo, mtama unaweka kwenye magodown unasubiria msimu unauza unga, minadani Mungu akupe nini.
. Unanunua marobota ya mitumba Kazi yako kutembea kwenye minada unauza nguo, ukipata pesa unanunua mbuzi unaleta mjini, ukitoka mjini unachukua marobota ya mitumba unarudi nayo.
.Fungua vijiwe vya chai,kahawa,vitafunwa wilayani, vijijini,huku unawawekea tv wachek mpira bure unatoka
Fursa bado zipo tele afrika ni kuchanganywa tu ubongo,maana shida uleta akili.
 
Afrika hata ukienda zako Morogoro .ukatafuta bonde heka 5 ukapanda miwa baada ya miaka 2 sio mwenzetu unakuja kuuza Dar vijjwe vya juice, au unafungua vijiwe vya kuuza juice ya miwa.
.Unapanda minyonyo, mibono,milonge,miarobaini baada ya miezi tu unakamaua mafuta unatengeza sabuni unauza.
.Una kijiwe wilayani cha kufyatua tofauti za kuchoma unachoma kwa oil chafu watu wanajenga KILA siku Mungu akupe nini.
.Unaenda porini unaangua mibuyu kisha unatengeneza unga na mbegu unakamua mafuta unauza.
.Unalima mihogo, mtama unaweka kwenye magodown unasubiria msimu unauza unga, minadani Mungu akupe nini.
. Unanunua marobota ya mitumba Kazi yako kutembea kwenye minada unauza nguo, ukipata pesa unanunua mbuzi unaleta mjini, ukitoka mjini unachukua marobota ya mitumba unarudi nayo.
.Fungua vijiwe vya chai,kahawa,vitafunwa wilayani, vijijini,huku unawawekea tv wachek mpira bure unatoka
Fursa bado zipo tele afrika ni kuchanganywa tu ubongo,maana shida uleta akili.
Una rahisisha sana, wapi utapata Ardhi ya bure hapa TZ. Misitu ya akiba, pori tengefu, hifadhi, nk
 
Una rahisisha sana, wapi utapata Ardhi ya bure hapa TZ. Misitu ya akiba, pori tengefu, hifadhi, nk
Dar sio kinondoni bwashee,tembea uone mapori tupu ndugu,ukiacha Dar, Kilimanjaro,Arusha,Mbeya kote huko ni mapori tu, umeshawahi kufika kusini, achana na vijiji vinavyoonekana pembeni mwa barabara toka kilometa 5 nje ya vijiji vya barabarani uone mapori tupu.We uwe na kitambulisho cha NIDA tu fika uongozi wa kijiji chochote jisajili unataka kuwa mwanakijiji ardhi utapata, au utakodi, ni wewe tu, mfano ardhi ya pwani imemilikiwa na watu wa Dar wameweka tu mtu yeyeto wa dar ukimuomba Shamba pori lake ulime akatai. Ardhi TANZANIA sio ya kuuliza, unaweza usimiliki ukakodi pia.
 
Back
Top Bottom