Bado Una Swali: Kwa Nini Bei za Magari Kutoka Ulaya Ziko Juu Sana Tanzania?

Ndio ninafukuzia kununua gari yangu ya kwanza,hivyo maswali huenda yakadhaniwa kuwa ya kipuuzi sasa pengine ili kuliepusha hilo vyema mtangaza biashara ukatoa ufafanuzi mpana na sifa za uzuri wa hiyo gari,lkn pia na mapungufu.
Elimu za magari zipo nyingi humu na nyuzi zake zipo mkuu cheki kwenye hizo nyuzi ila kwa ufupi pick up ya kwanza shambani tafuta hilux d4d engine...Isuzu ni mwisho wa mkataba ila cheki Toyota kwanza...
 
Magari mengi kutoka Ulaya yanatumia mafuta mengi (not fuel efficient)
Hata Marekani sasa wameweka standard za fuel efficiency. Magari yanayotumia mafuta sana hayatakiwi
 
Nin

Ninasikia kuwa pale SONGEA kuna wana wanakuvushia kupitia Mozambique kutoka SA halafu wakifika Tanganyika wanabadili usajiri na kuna gharama nyingi tu unaokoa.
Duuh usikwepe kodi ya gari TRA wanajua gari zote zilizokwepa kodi na wanawaleta wadogo kujua VIN zingine tofauti na ile ya wazi inapowekwa wakichukua gari wamechukua fine yake utabaki kuwachukia mpaka unaenda kaburini...wakwepa kodi ni wale wenye hela wakichukua moja maisha yanaenda sio wewe mchimba chumvi ukwepe wengi wanepoteza magari kwa mtindo huo..
 
S
Simaanishi kukwepa.
Inasemekana kuwa kuna ka unafuu flani kwenye kodi kama itaonekana kuwa gari limenunuliwa Mozambique kuingia Tanganyika.
Sina uhakika lkn.
 
Hizo gari sikuhizi unazipata south Africa bila shida yeyote tena ikiwa zero mileage....kampuni za magari ya ulaya kama LAND ROVER, VOLKSWAGEN,JEEP zinatengenezwa south Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…