Bado Yericko; Huenda kwa sasa kumtetea Mbowe ni hatari zaidi kuliko kulamba sumu kwa ulimi kilichompata Ntobi ni kielelezo cha nguvu halisi ya Lissu

Bado Yericko; Huenda kwa sasa kumtetea Mbowe ni hatari zaidi kuliko kulamba sumu kwa ulimi kilichompata Ntobi ni kielelezo cha nguvu halisi ya Lissu

Newforce

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2024
Posts
430
Reaction score
708
Huenda bila ya Mbowe kujua chochote Tundu Lissu tayari anaiongoza CHADEMA kama mwenyekiti mpya Kiroho (spiritually)

Kitendo Cha Viongozi mbalimbali wa CHADEMA kutoka hadharani na kumkemea Mbowe waziwazi kinaashiria tayari Mbowe si kiongozi tena Kwenye Ulimwengu wa roho(hapa watu wa Kiroho tu ndio mtanielewa)

Mbowe asishupaze shingo hawezi tena kumshinda Lissu na wale wanaomuunga mkono Mbowe wafanye hivyo kwa tahadhari kubwa kwani ni hakika Tundu Lissu ni Mwenyekiti hivyo waepuke kuonekana wazi wazi wakifanya hivyo.

Kwa namna Mbowe alivyofichuliwa na Lissu kuendelea kumuunga mkono ni sawa na kufanya USALITI kwenye CHADEMA na nijambo baya zaidi ya kuhama chama na kwenda CCM.

Salamu hizi zimfikie kaka yangu Yericko Nyerere na team yake kama kweli wanataka kuendelea kuwa wanachadema wakubaliane na Upepo huu otherwise wajiandae kwa mengine yote.

Soma pia Ntobi avuliwa Uenyekiti mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

NIONAVYO MIMI: MTU YOYOTE ANAYOTAKA KUZUIA MABADILIKO HAYA NDANI YA CHADEMA ATAONEKANA NI MBAYA KULIKO CCM.
 
Huenda bila ya Mbowe kujua chochote Tundu Lissu tayari anaiongoza CHADEMA kama mwenyekiti mpya spiritually.

Kitendo Cha Viongozi mbalimbali kutoka hadharani na kumkemea Mbowe waziwazi kinaashiria tayari Mbowe si kiongozi tena Kwenye Ulimwengu wa roho.

Mbowe asishupaze shingo hawezi tena kumshinda Lissu na wale wanaomuunga mkono Mbowe wafanye hivyo kwa tahadhari kubwa kwani ni hakika Tundu Lissu ni Mwenyekiti,

Kwa namna Mbowe alivyofichuliwa na Lissu kuendelea kumuunga mkono ni sawa na kufanya USALITI kwenye CHADEMA.l na nijambo baya zaidi ya kuhama chama na kwenda CCM kwani hata Msigwa Leo ameonekana msaada kwa mageuzi ndani ya CHADEMA.

Salamu hizi zimfikie Yericko Nyerere na genge lake kama kweli wanataka kuendelea kuwa wanachadema wakubaliane na Upepo huu otherwise wajiandae kwa mengine yote.

Soma pia Ntobi avuliwa Uenyekiti mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

MTU YOYOTE ANAYOTAKA KUZUIA MABADILIKO NDANI YA CHADEMA NI MBAYA KULIKO CCM.
Ntobi kapata alichokitafuta
 
Ungeeleza kinaga ubaga ni kitu gani kimejiri huko?
Ntobi, mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, amesimamishwa uongozi na kamati ya maadili ya kanda ya Serengeti kwa makosa ya kumtukana Lisu kuwa ni mropokaji na shoga, na kwamba huwa anaenda Ubelgiji kwa mume wake.

Kwa hiyo Ntobi, ambaye huenda ana matatizo ya afya ya akili, siyo mwenyekiti tena.
 
Na jaribu kuwaza tu hivi nini kitatokea ndanibya Chadema endapo Mbowe atapita katika huo uchaguzi. Jaribu kufikiria tu kuwa mpaka sas zaidi ya majimbo manne yamempendekeza Lissu awe ndo Mwenyekiti Je asipopita itakuwaje.

Hekima ya Mbowe ile wanayosema yuko nayo sikuzote inatakiwa kutumika sasa.
 
Ntobi, mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, amesimamishwa uongozi na kamati ya maadili ya kanda ya Serengeti kwa makosa ya kumtukana Lisu kuwa ni mropokaji na shoga, na kwamba huwa anaenda Ubelgiji kwa mume wake.

Kwa hiyo Ntobi, ambaye huenda ana matatizo ya afya ya akili, siyo mwenyekiti tena.
Ntobi ni mwehu kabisa lakini liwe funzo kwa wengine wote
 
Na jaribu kuwaza tu hivi nini kitatokea ndanibya Chadema endapo Mbowe atapita katika huo uchaguzi. Jaribu kufikiria tu kuwa mpaka sas zaidi ya majimbo manne yamempendekeza Lissu awe ndo Mwenyekiti Je asipopita itakuwaje.

Hekima ya Mbowe ile wanayosema yuko nayo sikuzote inatakiwa kutumika sasa.
Sio majimbo ni Mikoa mkuu
 
Na jaribu kuwaza tu hivi nini kitatokea ndanibya Chadema endapo Mbowe atapita katika huo uchaguzi. Jaribu kufikiria tu kuwa mpaka sas zaidi ya majimbo manne yamempendekeza Lissu awe ndo Mwenyekiti Je asipopita itakuwaje.

Hekima ya Mbowe ile wanayosema yuko nayo sikuzote inatakiwa kutumika sasa.
Wala hata hana hekima na busara hiyo..
 
Kumvua Ntobi uenyekiti ni mbinu ya kuja kumvua uanachama Lissu. Huyo kijana kafanywa kafara ili kufanikisha lengo la kumwadhibu Lissu.
Hapo chadema hawawezi mvua Lissu uanachama hamna alichokosea. Nimejaribu msikiliza sijaona ambapo anamtukana mwenyekiti. Suala la pesa za mama abdul heche ndo alikuja kuligonga mhuri kuwa ni kweli. Suala la maridhiano mbowe mwenyewe alishasema walichezewa mchezo.
 
Na jaribu kuwaza tu hivi nini kitatokea ndanibya Chadema endapo Mbowe atapita katika huo uchaguzi. Jaribu kufikiria tu kuwa mpaka sas zaidi ya majimbo manne yamempendekeza Lissu awe ndo Mwenyekiti Je asipopita itakuwaje.

Hekima ya Mbowe ile wanayosema yuko nayo sikuzote inatakiwa kutumika sasa.
Una hoja.
 
Huenda bila ya Mbowe kujua chochote Tundu Lissu tayari anaiongoza CHADEMA kama mwenyekiti mpya Kiroho (spiritually)

Kitendo Cha Viongozi mbalimbali wa CHADEMA kutoka hadharani na kumkemea Mbowe waziwazi kinaashiria tayari Mbowe si kiongozi tena Kwenye Ulimwengu wa roho(hapa watu wa Kiroho tu ndio mtanielewa)

Mbowe asishupaze shingo hawezi tena kumshinda Lissu na wale wanaomuunga mkono Mbowe wafanye hivyo kwa tahadhari kubwa kwani ni hakika Tundu Lissu ni Mwenyekiti hivyo waepuke kuonekana wazi wazi wakifanya hivyo.

Kwa namna Mbowe alivyofichuliwa na Lissu kuendelea kumuunga mkono ni sawa na kufanya USALITI kwenye CHADEMA na nijambo baya zaidi ya kuhama chama na kwenda CCM.

Salamu hizi zimfikie Yericko Nyerere na genge lake kama kweli wanataka kuendelea kuwa wanachadema wakubaliane na Upepo huu otherwise wajiandae kwa mengine yote.

Soma pia Ntobi avuliwa Uenyekiti mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

MTU YOYOTE ANAYOTAKA KUZUIA MABADILIKO NDANI YA CHADEMA NI MBAYA KULIKO CCM.
Soma hii mada hapa utanielewa,Nina macho ya keshokutwa Ikitokea bahati mbaya mtu kama Lissu na wafuasi wake wa Itikadi kali anakuwa Rais, tutarajie hali ya vyuma kukaza kama awamu ya Magufuli

Na nyie wengine subirieni zamu yenu
 
Salamu hizi zimfikie Yericko Nyerere na genge lake kama kweli wanataka kuendelea kuwa wanachadema wakubaliane na Upepo huu otherwise wajiandae kwa mengine yote.
Hivi huyu ni yule wa makaratasi au nawachanganya
 
Kumvua Ntobi uenyekiti ni mbinu ya kuja kumvua uanachama Lissu. Huyo kijana kafanywa kafara ili kufanikisha lengo la kumwadhibu Lissu.
Tundu lisu kakaa kwenye engo mbaya mno mkuu,

Ameshikilia uzi mwembamba wa uhai wa Chadema, huo uzi akiuachia, Chadema itapusuka mithili ya mtu aiyeanguka toka juu ya mnazi
 
Na jaribu kuwaza tu hivi nini kitatokea ndanibya Chadema endapo Mbowe atapita katika huo uchaguzi. Jaribu kufikiria tu kuwa mpaka sas zaidi ya majimbo manne yamempendekeza Lissu awe ndo Mwenyekiti Je asipopita itakuwaje.

Hekima ya Mbowe ile wanayosema yuko nayo sikuzote inatakiwa kutumika sasa.
Mbowe ameshaamua kuisalimisha Chadema kwa Samia hivyo anajua kabisa kuwa wanachama wanataka mabadiliko ambayo yeye hana uwezo kuyaleta na anajua kabisa kuendelea kwake ni kuidhoofisha Chadema kwa manufaa ya Samia na CCM, malipo ya awali 12b ameshapewa .
 
Huenda bila ya Mbowe kujua chochote Tundu Lissu tayari anaiongoza CHADEMA kama mwenyekiti mpya Kiroho (spiritually)

Kitendo Cha Viongozi mbalimbali wa CHADEMA kutoka hadharani na kumkemea Mbowe waziwazi kinaashiria tayari Mbowe si kiongozi tena Kwenye Ulimwengu wa roho(hapa watu wa Kiroho tu ndio mtanielewa)

Mbowe asishupaze shingo hawezi tena kumshinda Lissu na wale wanaomuunga mkono Mbowe wafanye hivyo kwa tahadhari kubwa kwani ni hakika Tundu Lissu ni Mwenyekiti hivyo waepuke kuonekana wazi wazi wakifanya hivyo.

Kwa namna Mbowe alivyofichuliwa na Lissu kuendelea kumuunga mkono ni sawa na kufanya USALITI kwenye CHADEMA na nijambo baya zaidi ya kuhama chama na kwenda CCM.

Salamu hizi zimfikie Yericko Nyerere na genge lake kama kweli wanataka kuendelea kuwa wanachadema wakubaliane na Upepo huu otherwise wajiandae kwa mengine yote.

Soma pia Ntobi avuliwa Uenyekiti mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

MTU YOYOTE ANAYOTAKA KUZUIA MABADILIKO NDANI YA CHADEMA NI MBAYA KULIKO CCM.
Kwa kukusaidia ni kuwa lisu ashamshinda mbowe tayar ila nasikitika kusema lisu hataweza kuiongoza chadema bila mbowe. Apunguze maneno ili yamsaidie kurud kutaka ushauri. Uongozi hasa wa upinzan kwa africa unajumuisha yanayoonekana na yasiyoonekana. Hili limemkuta Ruto hapo kenya na amekwama muda huu. Wale aliokuwa anawaita dynasty imebid awatafute kubalance mambo japo kashachelewa. Ukitaka kuongoza vizur usimdogoshe mtu we elezea sera zako na ukifanikiwa usimtenge uliyemshinda maana miaka 21 kuna mengi kapitia kuna la kujifunza kwake. Hata Biblia inasema wazee wakemee kwa heshima, haikukosea mzee.
 
Back
Top Bottom