Badoo inanivunjia uchumba wangu

Badoo inanivunjia uchumba wangu

Badoo.
Hahaha pole kaka.
Nimefyatua wa kutosha huko.
Ila kama ulivyosema ule mtandao ni kupandiana dau na mgegedo tu.
So hata mimi nikikuta mke wanfu,gf,au dada au mwanamke nimjuae huko namshusha thamani hapohapo..
 
Mkuu hizo picha nitumie tu mimi.
Errr, kuna research thesis nafanya kuhusu Cyber Crime Law Enforcement Lol.
 
Kudhalilishana ni vigumu mno.Jifunze kusameh.Kisha umkataze njia yako tena.Usifanye maamuzi ya kitoto kwa sababu kila jambo linawakati wake.hizo picha zihifadhi vizuri.Zitakusaidia wakati ukifika utajua jinsi gani unajitetea.Epuka kudhalilisha mwenzio.ujue alikua ameponzwa na tamaa..
 
Mambo mengine Mungu anaamua kukuonyesha ili kukuokoa

Muite...muonyeshe ujinga wake kisha mmwage...

Vunja uchumba rasmi (ila usiende kudai mahari ishaliwa haha)
 
Badoo.
Hahaha pole kaka.
Nimefyatua wa kutosha huko.
Ila kama ulivyosema ule mtandao ni kupandiana dau na mgegedo tu.
So hata mimi nikikuta mke wanfu,gf,au dada au mwanamke nimjuae huko namshusha thamani hapohapo..
Mbona wewe uko huko?
 
Kwakuwa ushagundua mpotezee tu haina haja ya kumdhalilisha mkuu, muhimu ushagundua hapo hakuna mke, mungu kakufunulia yaliyofunikwa...
 
Wanawake hawana akili hata kidogo,asietaka kuamini shauri yake,
jamaa yangu mmoja alimpata dem fulani hapa jf,walichat sana mpaka id ya huyo dem alinionesha na baadhi ya chat zake,
ila jamaa anazo sana,akawa anajifanya hana kitu aone dem anampenda kweli au longolongo,hatimae dem kaamua kimpotezea jamaa kiaina kisa jamaa hakutaka kuvaa real image yake.
 
Pole sana

Huyo muache akiwa na ndugu zake marafiki outing kumsubiri wa badoo. Iseti na lipia wengine usijitie aibu.

Mpasulie hapo na hataweza kukusingizia chochote baadae then ondoka zako.
 
I hate to break this but don't u see dem wako anajiuza?
Besides she is too low hana hata classy?wht do u do with 20000?
It means hafanyi kazi na ni kula kulala unanishangaza u ddnt see this coming all men take t from me,dem wako/mkeo/rafiki wa kike akikuambia au u found out kwamba yuko badoo dump her,neno moja tu anajiuza!what else's chick cab be doing on badooo?zaid ya kutafuta wasa.gaji wenzie,masho.ga na kujiuza?
Ambao hatujaoa tuwe macho

Kama wanawake walioko badoo hakuna wanachokifanya kule zaidi ya kujiuza bila shaka wanaume wa badoo pia hawana wanachokifanya huko zaidi ya kununua 'k' na mashoga! Hahaaa.... You are wrong my dear! Dunia sio mbaya bali walimwengu ndo wabaya!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kaka, hakuna jingine zaidi ya kuachana nae kwa amani tu, adhabu nyingine Mungu atampatia taratibu kadri siku zinavyoenda maishani mwake.
 
Mkuu hizo picha nitumie tu mimi.
Errr, kuna research thesis nafanya kuhusu Cyber Crime Law Enforcement Lol.
jiunge baddoo,alafu ziombe kwenye private picture utapata ata za kujaza flash ya G 4
 
Jamii yetu tunaishi kinafiki sana na ukitaka kuamini hili ni taarifa za TACAIDS zinazosema maambukizi kwa wanandoa yapo juu sana. Suala la ukosefu wa uaminifu ni letu sote bila kujali jinsi. Binafsi ningekuwa mm ndio wewe wala nisingepaniki. Ningemweleza bayana na kumwacha nisingemwacha.

Angekuona bonge la -----, "you must reach a time to leave whatever hurts you no matter how much it hurts to let it go" unapomrudia msaliti ni kujidhalilisha na kumpa jeuri kuwa huwezi kusonga mbele bila ya yeye, ataendelea kukufanyia ujinga tu, yalinikuta hayo na naongea kwa experience, idol minds are workshop of devil, mara tatu mfululizo unaweza ukasamehe ukajirudia ujinga huo huo, songa mbele mkuu sikushauri kumrudia hata iweje.
 
HUYO MFANYA BIASHARA MKUU...NIPE NAMBA NINUNUE MZIGO HUO...UMESEMA GOTI ANAJIFUNZA KWA HIYO NITAPATA HUDUMA HIYO?....

POA BASI TUPIA NAMBA PRIVATE NIKANUNUE HUDUMA KWA JAMII.

angalizo:- sio kila mwanamke mwenye k%#%*(ma ni wa kuoa...wengine viburudisho vya wanaumeee.
 
Huyo wako kazidisha na anaonekana ni malaya aliyekubuhu.Mwanamke sitara,ujisitiri.Atakusumbua sana ukimuoa.Mshukuru mungu,huna haja ya kuweka picha zake mtandaoni.PIGA CHIIINI,Hafai kuwa mke.
 
Back
Top Bottom