Badoo inanivunjia uchumba wangu

Badoo inanivunjia uchumba wangu

Jamii yetu tunaishi kinafiki sana na ukitaka kuamini hili ni taarifa za TACAIDS zinazosema maambukizi kwa wanandoa yapo juu sana. Suala la ukosefu wa uaminifu ni letu sote bila kujali jinsi. Binafsi ningekuwa mm ndio wewe wala nisingepaniki. Ningemweleza bayana na kumwacha nisingemwacha.

Wewe ni Me au Ke?
 
kuna watu mna fikira za ajabu.na hizi fikira za kusema usimuchunguze sana bata mimi nazipinga sana.Mimi nasema chunguza tena sana tu na ukibaini ni mshenzi achana nae wapo wanawake safi kibao tu unahitaji mda na umakini tu kumpata mmoja.
Lakini habari za kuishi na mtu usiyemwamini halafu ukajikaza ipo siku utapigwa sumu. Na kifo cha kizembe ni ujinga
 
Huyo dada hafai, huo muda wa kufanya uchafu Kama huo na wakati una mpenzi wako sijui aliupata wapi?

Muache hafai hata kidogo
 
Sikushauri kusambaza hizo picha kaka. Vuta subira wala usimfanyie hasira. Haya mambo yapo sana tu. Cha muhimu wachana nae kwa roho safi tu ipo siku utapata mwingine na huyu utamsahau. Najua inauma sana hasa kupoteza muda wa kuwa naye na pia kupata huyo mwingine maana si chini ya mwaka. Ila vumilia huwezi jua mungu kakuepusha na janga gani. Shukuru kwamba umeyajua haya mapema
 
ulitakiwa ukutane Naye live hapo sinza lodge na kwakuwa alishakuahidi 0713, ungemdai akupe upige halafu ndo umpige chini.
 
Mkuu usiweke picha zake sehemu yoyote ile, uckubali wajinga muwe wawili, kwani yaweza galimu maisha, muweke wazi kisha mteme, hafahi huyo, kudadeki zake, anakubali kutoa tigo, ila mpe onyo akikufatilia utaweka mambo wazi.
 
Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi.

Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na soon tulikuwa tunasubiri jambo fulani ili mwezi wa 11 tufunge ndoa, kimsingi tunapendana sana, sijawahi hata siku moja ku-notice jambo lolote baya kati yetu linaloweza kuleta labda ugomvi na kutokuelewana, tupo vizuri na tunafuraha muda wote.

Kama kuna shida basi ni ndogo ndogo za kupishana kauli kibinaadamu. Kiufupi niseme yaani tupo kwenye pick ya juu kabisa ya mapenzi yetu. Wiki mbili nyuma mshikaji wangu mmoja akaniambia mbona kwenye Badoo naona picha za shemu kabadili jina kidogo, unaruhusu vipi anaingia huko? Sikuamini ikabidi ni download na kuanza kumsearch.

Ilinichukua kama siku tatu kuja kumpata kwenye Badoo na ni yeye kweli katumia jina lake lakini kimadoido. Nikahisi labda kuna mtu anatumia picha zake sio yeye, ingawa simu yake ina password kama yangu nikagundua kweli ameinstall Badoo kwenye simu yake, muda wote huo sijamwambia kitu nachunguza tu.

Nilichokifanya account yangu ya Badoo nikatafuta picha za jamaa wa costa rica sijui nikaziweka kama zangu na jina la uongo naishi mikocheni na ukiona hivi unaona mtu mambo safi. Nikaanza kumchokoza mambo basi tukawa tunachat nikaanza kumchomekea nampenda, nimependa picha zake na ninakaa Masaki.

Jamani wanawake ni wabaya kabisa. Akaanza ooh nina mchumba lakini tufanye siri, mara ananiponda kishenzi eti ndugu zake kama wanamlazimisha nimuoe, basi na mimi namchokonoa tu yaani anafunguka hadi aibu mengine siwezi sema hapa, in short anamaanisha I am nothing at all. Nikamuomba namba akanipa, ila yangu nikamwambia sio vizuri yeye kuwa nayo, Akanipiga mzinga wa elfu 50 nikamtumia fasta kwa kibanda ya mpesa ndio nikamchanganya kabisa.

Tukaendelea kuchat nikamuomba anitumie picha, namsifia kila ninacho mwambia natamani nione anajipiga ananitumia, jamani hizo picha unaweza kulia ukajiua, mtupu kama alivyozaliwa, mara apige k picha, mara maziwa yaani hakatai kitu, nikamuomba picha ya bwana wake akanitumia jinsi alivyo mshenzi, nikimsifia mbona handsome anaponda kinoma.

Naitwa majina yote matamu duniani hadi najionea wivu mwenyewe, kila nikiingia nakuta meseji kibao yaani ni i miss u, i cant wait to xxx with u. U have sex body nk nk. Kufikia hapo nikajua mchumba tena sina lakini nikasema ngoja niendelee kumpima, nikamchomekea mambo ya tigo akaruka sijawahi na sipendi, nikaanza kumchombeza nanini heee akaniambia labda atajaribu mara moja tu lakini anasikiaga inauma na nisi pizi ndani maana manii yakiingia eti atakuwa anawashwa na atakuwa anataka kila siku kuliwa tigo khaa!.

Wiki iliopita nikamtumia elfu 20 nikamwambia saa kumi kamili aje Sinza Hotel fulani atanikuta nimechukua chumba kabisa, nitakua namsubiria kaunta ya baa chini, mimi nikaenda nikabana sehemu, akaja hadi kaunta akakaa we simu yangu hana sasa, nikamtumia tu meseji Badoo kwamba baby sorry vikao vimenibana sana sitaweza kuja ndio akaondoka. Jamani niliumia sana sana lakini sasa roho imeisha kubali, hata kama kuchepuka lakini sio kule jamani, mtu hata humjui.

Na je huko Badoo kashatongozwa na kugongwa na wangapi, maana Badoo ni kujiuza tu hakuna friends wala followers kule, wewe unatupia picha unasubiri atakayekolea mnaanza chat. Amenidhalilisha sana sana jamani, sijawahi kumkosea lolote hadi anivue nguo vile mbele ya mtu hata asiyemjua na anavyojua kujipretand sasa, nimuulize ulikuwa wapi yaani majibu anayonipa yananipa picha ndio hunidanganya hivi kila siku.

Hadi sasa sijamwambia na sijui nifanyeje lakini mimi na yeye basi maana sasa ni wiki hata hisia sina tena mzee hashtuki kabisa mpaka ananiuliza kunani? Namjibu naumwa tu. Nataka nimfanyie kitu mbaya, hizo picha za uchi atazisoma mitandaoni na kwa shigongo na itakuwa mwisho wetu. Na sitakaa nimwambie ni mimi nilikuwa nachat naye nitaacha picha ziongee.

Naomba maoni yenu wadau

mapenzi hayana formula ndugu yangu sisi tutakushauri lakini maamuzi ni kwako na halmashauri ya kichwa chako
 
Alafu ndoa zenu si ndio zile sijui till death do us apart.... mbuzi kwenye gunia hiyo.
 
Pole mkuu.... Forgive and forget usimlipize wala kumtumsi hata kumpiga. Mwambie kwa upole yote uliyo yaandika then fanya ujue ni kwanini alifanya hivyo itakusaidia kwa baadae ukijua kwanini alitaka kukusaliti.
 
Mmmm mbona hili li-story nliwahi gongana nalo mahali back in days ? ni ile ile au ni zinafanana mimi imenikera maana ilisha-exist hiki kisa ni cha muda sana too sill 🙁🙁🙁🙁
 
Mmmm mbona hili li-story nliwahi gongana nalo mahali back in days ? ni ile ile au ni zinafanana mimi imenikera maana ilisha-exist hiki kisa ni cha muda sana too sill 🙁🙁🙁🙁
Mkuu kwan huoni hii story ni yalini? Toka 2015 mküu cheki vizur
 
Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi.

Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na soon tulikuwa tunasubiri jambo fulani ili mwezi wa 11 tufunge ndoa, kimsingi tunapendana sana,

Naomba maoni yenu wadau
MNAPENDANA SANA AU UNAMPENDA SANA? nisaidie kwanza hilo swali ndo nikupe maoni.
 
Daaah mkuuu sina lakukushurii ila pongezi zako umecheza kama peleeee
nimefurahi sana hii trick aliyotumia huyu mtoa mada aisee. Na mimi nataka nicopy na kupaste sehemu nione kama nitashinda looooh, cjui wangu atakuwa badoo kweli?
 
Back
Top Bottom