Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hela za kukodi chopa leo zimepotea bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo ndo atakupangia kodi, atakufirisi na atakaekupa dira ya shughuri zako miaka 5 ijayo.Yaan niache shuguli zangu nikamwangalie mwanasiasa!!!
Kammanda Leta picha acha matusiUnatapatapa km punda jike mwenye joto la kupanda
Bwasheee acha hasira leta pichana wew kibwengu wa lumumba mambo ya lissu yanakusaidia wala kukuongezea nn zadi ya kujifurahisha
Tatizo mtu kama Lisu na baadhi ya vitoto koko vya viongozi vingine havitaki hata kujua historia ndogo tu ya kujua tu udongo uliochanganywa ulichotwa wapi Tanganyika na Zanzibar? Na ile chupa iliochanganywa ule udongo baada ya kuchanganya ilipelekwa wapi na ule udongo?Mkuu hii history bila shaka Shangazi wa Taifa ilimpita😬
Kwa mahali nilipokaa siwezi kupata viewWeka picha ili tumkate ngebe mleta mada!
Kwanini chadema mnaogapa sana kuposti picha za kampeni siku hizi?
Umepigiliwa misumari hapo ulipo? Si utoke uende penye view nzuri?Kwa mahali nilipokaa siwezi kupata view
Upo mbali sana na ukweli? Kwahiyo bora kuangalia DIAMOND NA KIBA KULIKO MWANASIASA?Yaan niache shuguli zangu nikamwangalie mwanasiasa!!!
Jibu la kishweitani hili; kwamba hata Lissu na viongozi husika hawakuwepo?Sasa utaweka picha ya uwanja tupu??
😂Bagamoyo kuna watu wa kale tu, primitive