King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mhhhh kazi ipo...hivi siku hzi mtu unaweza ukawa unafanya kazi Daslamu na makazi bagamoyo eee...kweli mji umekua
Marehemu alishaacha wosia azikwe bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mimewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
Huyo mwanamke amemsumbua sana huyo baba hata kumpelekea kifo chake kwa kupata Sonona
Probability ya make kumuua mumewe ni kubwa, sio Kwa uchu huo hata marehemu hajapumzishwaMarehemu alishaacha wosia azikwe bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mimewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
Marehemu atakua kauwawa,uchunguz ufanyikeAlifumaniwa kumbe… Kwahiyo ndoa yao ilikuwa na mgogoro??
Nashaur uchunguz wa kina ufanyike,nna wasiwasi marehemu kauwawa, sio Kwa Kasi hii ya mjaneManka kaona fursa ya kupangisha nyumba apate pesa hafikirii kabisa utu, ndio maana wanawake wachaga wanachukiwa kumbe hawasingiziwi.
DeepPond njoo usome huu mkasa ili ututungue story.
Huyu mwanamke na familia Yao nzima washajichafuaSio wote hila wamachame ndio wanauwa wake zao
Huyu mwanamke kamuondoa jamaa,Mimi nishadate na mchaga wa old moshi nikawa namtania alikuwa anachukia japo alinicheat akabeba mimba uko
Hila mwanamke wa kimachame muogope sana akishajua hapa pesa hipo kifo kinakuhusj
Hii BOMA maana yake nini? Weka kiswahili chake hapa ueleweke, sio wote tunaweza elewa matumizi ya neno hilo.Hili sakata ukilisikiliza inaonekana mume alitoa maagizo azikwe kwenye boma lake na mke anataka kupangisha nyumba.
Ndugu walikua sahii,huyu mwanamke katili Sana.WAFIWA WAMEONA ISIWE TABU WAMEMUWEKEA MKE UA LAKE MLANGO AKIJA AMALIZIE KUZIKA. WAKAMUINGANISHIA NA BANGO[emoji119][emoji22] “MTAKA NYINGI NASABA HUPATA MINGI MISIBA”View attachment 2494264View attachment 2494265
Sahii kabisa, huwez fiwa mmeo kipenzi usihudhurie msiba wake,huyu kamuua mmeweKwa mujibu wa mashuhuda mkewe alisema ana mpango wa kuipangisha nyumba hiyo kwa wazungu, hivyo uwepo wa kaburi la mumewe tena mbele ya nyumba hiyo utazuia mipango yake. Hivyo akaamuru mwili usafirishwe akazikwe kwao Moshi.
kwa hali hiyo, nashauri jeshi la Polisi limshikilie huyo mke kuchunguza chanzo cha kifo cha mumewe hata kama amefia hospitali. inawezekana alimwekea dawa iliyommaliza taratibu.
Wanawake wengine wana tamaa ya mali kuliko shetani mwenyewe.
Hebu lete story tupate la kujifunza chief[emoji848]Mi yalinikuta kwa hao Wachaga nilibaki kimbaumbau kidogo nidanje, sijui nilitoka vipi ktk lile dimbwi la mauti [emoji849]
Asante sana Mungu kuniokoa [emoji2960]
Tunaomba picha zake huyu mdada mtata hadi kwa marehemu, mwenzie kafumba macho jenezani yeye anawaza hela.
Nadhan hata alipokuwa hospital alikuwa anauliza kila mara hajafa??
Ila na sisi wanaume tupo wa ajabu sana, unaishije na mtu wa aina hii usione dalili na tabia zote hizi mbaya.
Au madawa ya limbwata????????
Mi mwnyw nmepata wazo,Nikifa nizikwe kwanguHapo ishu ni nyumba, Hakuna anaenunua nyumba yenye kaburi.
Acha hizo weweeeee[emoji16]Deep pond yuko na stress, eti ametutungia hadithi kwamba amepigwa kibuti na mkewe!
Kuna la kujifunza hapaNimeona jambo. Huenda hilo janajike pia lilihusika na kifo cha mumewe so mume alipoona dalili za mke kuhusika ili asimwache afaulu dhumuni lote akaagiza azikwe kwake si moshi. Jaman chungeni sana wanawake mnaoishi nao.
Mbinu safi sn hiiNdio.
Mkaka wa watu msongo umemmalizaa ndo maana hata majirani wana hasira. Na mume alishaona akifa kwa mke ni sherehe ndo maana akaweka wosia azikwe palee
Kampiga sumu ya dawa ya macho uyo🥲Huyo Mwanamke wake huenda alimfanyizia madawa ya kumuua taratibu maana kifo chake kilivyo kama ni korona hivi maana kila siku condition ilikuwa inabadilika na anashindwa kupumua,jamaa alikuwa msomi hasa alikuwa na Masters ,kama mkewe alichafua hali ya hewa kwa Mange basi alikuwa madada wa mujini ambao Pesa Mbele kama Tai.