Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

tukienda nje ya mada kidogo WACHAGGA wanaushamba wa kijinga mno kuhusu suala la kuzikia manyumbani, serikali inatenga maeneo ya pamoja lakin wao uwa wauchu na mali hawataki kuzikwa mbali na nyumba zao, awa jamaa ni wasomi ila kwenye ili la kuzika manyumbani ni failure,

imagine miaka50 mbeleni uko moshi patakuawaje, kila kona makaburi tupu. ustaharabu wa ovyo kabisa huu

Mkoa gani wasiozika majumbani kwao?

Au kwa vile umekaa Dar basi unaona Tanzania nzima wanazika maeneo yaliyotengwa!
 
Bado tunasisitiza vijana kuoa wanawake wa saizi zao wataoweza kuwamudu, ndugu zangu tusiangalie Tako, sijui mweupe, sijui pisi Kali, jiangalie na uwezo wako wa kumudu hayo mengine ni ziada, lakini ukiangalia hayo, ukiyumba kidogo tu utachapiwa mpaka ndani kwako, ukijifanya uko bize kumtafutia aishi vizuri Bado utachapiwa, akiona unambana bana ndio kama hivyo anakupiga tukio, hebu waza hapa duniani unapitia mateso, huzuni, msongo wa mawazo, ukifa bado ukutane na bakora(Kwa mujibu wa Muslim), au ziwa la moto (Kwa mujibu was christian) utaponea wapi sasa, yaani ukichimama nchale, ukichuchumaa nchale, ukikaa nchale
 
Na nyie wanawake punguzeni tamaa, hizi mali ni za hapa hapa sio kwamba ukifa utaenda nazo, ya nini kihangaikia Mali? Jifunzeni kuridhika, kubalini kwamba huwezi pata Kila kitu unachokitaka Kwa mwanaume Ili hali hata wewe huwezi kumpa mwanaume Kila anachotaka akaridhika, jifunze kuridhika na ulichonacho, kuhangaika hangaika kunashusha thamani yako, kulala na wanaume wengi kunaishusha hadhi Yako hata ukiwa na pesa utaonekana huna maana tu, thamani ya mwanamke Iko katika maungo yake ndio maana wanaume wengine wako tayari kukupa hata gari Ili tu walale na wewe huwezi kujiuliza Hilo?? Ukiolewa tulia ndani acha kutangatanga
 
Nisichoelewa ndugu wanaweza kumpangia mjane halali namna ya matumizi ya nyumba yake au wapi amzike mme wake?
Soma stori nzima mzee; marehemu enzi za uhai wake alishaacha wosia azikwe hapo. Baada ya kifo mke analazimisha akazikwe kwao Kilimanjaro. Huoni tatizo?

Hata kama angefariki bila kuacha wosia, sio suala tu la mjane kuamua wapi mumewe akazikwe, ila ni lazima awe na concrete reasons kwanini anataka hivyo. Otherwise, kauli zisiponyooka, ndugu wana haki ya ku-intervene!
 
Back
Top Bottom