OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mmomonyoko unapotokea kwa viongozi wakuu wa mihimili ni hatari zaidi. Hivi katika historia ya maspika kumewahi kutokea spika hovyo kama huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni speaker aliyeamua kuwa speaker, yaani harumii ubongo wake kabisa yeye anafuata maelekezo ya mkubwa wake.Mmomonyoko unapotokea kwa viongozi wakuu wa mihimili ni hatari zaidi. Hivi katika historia ya maspika kumewahi kutokea spika hovyo kama huyu?
Soma bandiko langu vizuri. Hata vile kwa kuwa umeuliza, kikundi hicho ni hao wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Kamati Kuu ya Chams Je, mchakato wa uteuzi wao unaujua! Ila kwa kuwa bandiko zako zaonesha ama wewe ni mwanachama/mfuasi au kiongozi wa hicho Chama, rejea kwenye Katiba ya Chama ili ujiridhishe jinsi ambavyo hao wajumbe waliteuliwaHicho kikundi ni kipi?Ni akina nani hao unaozungumzia?
Unaandika vitu virefu ambavyo sioni point ndani yake.Point yako hasa ni nini?Huwezi kwenda direct kwenye point bila ya kuzunguka?Soma bandiko langu vizuri. Hata vile kwa kuwa umeuliza, kikundi hicho ni hao wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Kamati Kuu ya Chams Je, mchakato wa uteuzi wao unaujua! Ila kwa kuwa bandiko zako zaonesha ama wewe ni mwanachama/mfuasi au kiongozi wa hicho Chama, rejea kwenye Katiba ya Chama ili ujiridhishe jinsi ambavyo hao wajumbe waliteuliwa....
Nilikuwa nakujibu swali lako.Unaandika vitu virefu ambavyo sioni point ndani yake.Point yako hasa ni nini?Huwezi kwenda direct kwenye point bila ya kuzunguka?
Huyu ndie number one, amelifanya bunge liwekwe mfukoni na serikali halafu anacheka tu muda wote.Mmomonyoko unapotokea kwa viongozi wakuu wa mihimili ni hatari zaidi. Hivi katika historia ya maspika kumewahi kutokea spika hovyo kama huyu?
Unaweza kuthibitisha kuwa Mbowe ni dikteta ndani ya chadema?Kuthibitisha ni muhimu sana kwa sababu mtu anaweza kuamkia kwenye kilabu cha pombe za kienyeji akiwa na hangover zake akaja hapa kuandika kitu chochote anachojisikia kuandika hata kama hakipo ila mradi asukume siku na hangover zake ziishe.Nilikuwa nakujibu swali lako.
Kwa taarifa yako, kama unaafuatilia mjadala wa sakata la uteuzi wa wabunge wa viti maalumu walioapishwa, ambao baadhi ni viongozi wa ngazi za juu wa Mabaraza ya BAVICHA na BAWACHA, nimechangia kuwa tatizo ni udikteta wa Mbowe, M/kiti wa CHADEMA anakiendesha kama chake kwa kuwa kwa kila hali amejitabainisha kuwa ni mjasiriamali wa kisiasa....
Mkuu Behaviourist kama kuna wanaJF wanao andika porojo wewe ni wafuasi wa CHADEMA ukiwa wewe ni mmoja wao kutokana na bandiko na mijadala yako yakusifia viongozi wa CHADEMA wakati ule ule ukilalama na kuilaumu Serikali pasipo ushahidi unaodai nitoe, kwa kuwa tu nimemgusa Mbowe. Aibu tupu.Unaweza kuthibitisha kuwa Mbowe ni dikteta ndani ya chadema?Kuthibitisha ni muhimu sana kwa sababu mtu anaweza kuamkia kwenye kilabu cha pombe za kienyeji akiwa na hangover zake akaja hapa kuandika kitu chochote anachojisikia kuandika hata kama hakipo ila mradi asukume siku na hangover zake ziishe.
Mimi siyo muumini wa kujadili porojo.Porojo ni kitendo cha mtu kujisikia kuandika kitu chochote hata kama hicho kitu hakipo ila mradi afurahishe nafsi yake na kusumbua watu wengine kisa tu kucomment hapa ni free.Thibitisha madai yako tafadhali au kama ni porojo pia unaweza kudeclare kuwa ni porojo.
Unaelewa kuwa katiba ya chadema inasema kuwa ukikipeleka chama mahakamani unakuwa umejifukuza uanachama automatic?Unaelewa kuwa Zitto alikipeleka chama mahakamani ilihali alikuwa analijua hilo?Sasa hapo ni Mbowe alimfukuza Zitto uanachama?Udikteta wa Mbowe hapo katika hili uko wapi?Mkuu Behaviourist kama kuna wanaJF wanao andika porojo wewe ni wafuasi wa CHADEMA ukiwa wewe ni mmoja wao kutokana na bandiko na mijadala yako yakusifia viongozi wa CHADEMA wakati ule ule ukilalama na kuilaumu Serikali pasipo ushahidi unaodai nitoe, kwa kuwa tu nimemgusa Mbowe. Aibu tupu.
Hata vile ngoje nikutajie baadhi ya matukio ambayo ama yana mkono au uamuzi wa kidikteta wa Mbowe:
√ kufukuzwa kwa Zitto kwenye chama;
√ kupotea kwa Saanane, msaaidizi wake mkuu;
√ uteuzi wa Lowassa kama mgombea Urais;
√ vitendo vya wabunge wa CHADEMA kususia vikao vya bunge na hilo la kujifungia ndani ati korona; na
√ uteuzi wa wabunge wa viti maalumu walioapishwa hivi karibuni.
Kwa kuwa hamna ujasiri wa kumhoji, mbali na kushutumu tabia yake, hata hili sakata la wabunge Mnyika atajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
MBOWE IS UNTOUCHABLE, period.
Sawa hilo la Zitto nikubali liwe kama ulivyosema. Tusubiri kama Mnyika atatumia mamlaka yake ya Ukatibu Mkuu kutekeleza aliyowaambia waandishi wa habari.Unaelewa kuwa katiba ya chadema inasema kuwa ukikipeleka chama mahakamani unakuwa umejifukuza uanachama automatic?Unaelewa kuwa Zitto alikipeleka chama mahakamani ilihali alikuwa analijua hilo?Sasa hapo ni Mbowe alimfukuza Zitto uanachama?Udikteta wa Mbowe hapo katika hili uko wapi?
Tusiwalaumu akina Mdee tujiulize nini kiliwakuta ndipo tulaumu.
Mnyika aliwaambia waandishi wa habari kuwa atafanya nini/kitu gani?Sawa hilo la Zitto nikubali liwe kama ulivyosema. Tusubiri kama Mnyika atatumia mamlaka yake ya Ukatibu Mkuu kutekeleza aliyowaambia waandishi wa habari.
Walinyimwa dildo.Tusiwalaumu akina Mdee tujiulize nini kiliwakuta ndipo tulaumu.
Naam, itabidi watueleze wao kilichowasibuTusiwalaumu akina Mdee tujiulize nini kiliwakuta ndipo tulaumu.