Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Unakuta wote kwenye group wanazo, sema hawajfikwa na hiyo kadhia. Hapo jamaa kama kwaongezee mzigo.. watu wameharibikaVyovyote utakavyo fanya ila umejivunjia heshima sana,wanasema poteza vyote lakini sio heshima yako
Umeonekana mtu wa hovyo sana,kitendo tu cha kuwa na hizo video ni upumbavu wa hali juu
Zile wanakalia chupa za BIA na kuzinywesha pusi BIA ?π π π Ukute ni za Baikoko
Ni mtihani sana kwakweli tena unaweza kukuta admin wa group ndio konki wa mambo hayoπUnakuta wote kwenye group wanazo, sema hawajfikwa na hiyo kadhia. Hapo jamaa kama kwaongezee mzigo.. watu wameharibika
Hapo ndio kunakuwa na mgongano wa maslahi π π πNi mtihani sana kwakweli tena unaweza kukuta admin wa group ndio konki wa mambo hayoπ
Na unaweza kuta wanagroup wamependa clip za mwamba,sasa ishu inakuja namna ya kuomba wafowadie
We acha tu hakika moyo unaficha mengi sana expert wangu,unaweza hisi jamaa ana nasabu na shetani dadekiHapo ndio kunakuwa na mgongano wa maslahi π π π
Hii dunia kuna mtu unaweza fikiri wa heshima, kaa nae kama masaa matatu.. utajiona Cha mtoto
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Unapata wapi muda na ujasiri wa kusave uchafu kwenye simu Yako wewe unajua utaishi milele?Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Zikisha kuwa seen inabaki option ya delete for me basiDelete for everyone
Umeshindwa au porojo unataka tuweke?
Pata uzoefu kwa EngogaWakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Unaangalia wee bando likaribia kuisha unatafuta moja ya kuvutia hisia unawasha kimoja chap unaacha MB 10 za kuja kushangaa huku JFKwani hadi miakaa hii bado watu mnadownload hizo video....??? Angalia online achana nazooo ona sasa
Ndio zako nini expertππUnaangalia wee bando likaribia kuisha unatafuta moja ya kuvutia hisia unawasha kimoja chap unaacha MB 10 za kuja kushangaa huku JF
πππππππHapo ndio kunakuwa na mgongano wa maslahi π π π
Hii dunia kuna mtu unaweza fikiri wa heshima, kaa nae kama masaa matatu.. utajiona Cha mtoto
Mkuu pole sana. "Delete for all" halafu uwaombe wadau msamaha. Waambie ni mtoto alikuwa anachezea simu akazituma kwa bahati mbaya. Watoto ndio kimbilio siku zote.Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Mkuu hata ukitengeneza folder, ukifungua my files utazikuta humo kwenye folder ya video. Azifute tu na aombe radhi, hakuna namna.Inaonekana hizo picha umeziweka kihasara sana kwenye simu yako. Kwann usizitengenezee folder ukazisokomezea huko, kiasi kwamba mtu hawezi kuzifikia kirahisi?
Sasa hapo tukushauri nini, wakati zimeshaonekana kwenye group?
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Mambo ni motomzabzab mcheki anasbo akupe story π π .. muanzisha mada kwaongezee mzigoView attachment 3206782View attachment 3206783
Kumbe nawewe unazijua jamani ππ