Bahatisha umri wa mwanaJF

Bahatisha umri wa mwanaJF

Nishazoea kunidanganya tu, hata kule shuleni unanidanganya kila siku ili nisikupe adhabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwa hili hata sikudanganyi, tena kwenye 7 weka na nusu.... Ili upate na miezi niliyonayo
 
Uzi kama huu sio mzuri katika Fikra na Saikolojia za Wanawake.

Hata kumuuliza Mwanamke umri wake sio vizuri asilani.

Ila akipendezwa nafsi yake basi na autaje umri ulio wa kwake.
 
Vijana bwana.....

4147b023db7b0a838a7220e5dfd6ff8c.jpg
Ndo wewe mkuu huyo?
 
Back
Top Bottom