Bahiri kupitiliza

Vipi umeweza kujenga nyumba mkuu
 
Kazi ninayo mkuu shida nina malengo mapana kiac kwamba nikiingiza hizi mambo za madem naona wananitoa kwenye focus yangu shida ni upwiru sasa
Timiza malengo kwanza. Sisi wazee wetu wamekaa Manzese enzi hizo wameshindwa kumiliki viwanja wameendekeza qyuma tu .

Kama ni upwiru tafuta mademu wa kitaa wale unawamudu . Dogo kamaliza form 4 dandia huyo
 
Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshi
 
Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshi
Wewe ni kabila gani mkuu?(samahani kwa swali la namna hiyo)
 
Nahisi hapa ndo ulipokosea, huyu huenda ni mke. Wadada wengine anakuomba hela na shoo hakupi Melancholic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…