Km una mshahara wa 270,000 baada ya makato ya nssf unalipa zero PAYE...zamani ilikua 170k...nimekuwekea na link ya TRA for reference, weka 270k uone unapata kodi kiasi gani.Sina taarifa kwamba kuna watu hawalipi PAYE, unaweza kunifahamisha ni wapi hao....na kwa nini mishahara yao haikatwi kodi? na kwa nini hao wengine walipe 8%...
Hapa hata cost of collection itakuwa haipo tena. Huu ni muarobaini tosha wa kutatua tatizo la ukusanyaji wa kodi ya majengo. Asiyetaka kulipia kupitia kwenye luku atumie sola au jenerator. Pia kama hutaki kumlipia land lord wako kodi ya jengo amua kuishi kwenye mahema. Au kopa ujenge nyumba yako mwenyewe upambane na ma riba ya mabenki. Kila mtu akiwa anaishi kwake basi wenye majjumba yao watabaki na mijumba yao ikiwa mitupu bila wapangaji kama ilivyotokea Dar baada ya serikali kuhamia Dodoma( Nyyimba tupu, haina mpangaji, Menye nymba hapokei kipato cha kodi, luku haitumiki, kodi ya jengo hailipwi.) Hapo mbona fair kabisa jamani tuache kulia lia.Bajeti iko poa sana. Vitu vingi vimeshuka kodi au kusamehewa kabisa. Ilikuwa ngumu na gharama kubwa kukusanya kodi za majengo (TRA WANAJUA HILO) Mtu atoke sinza aende KINONDONI KULIPA ELFU KUMI AU 50000 KWA MWAKA? bora waingize huko ambapo hakutakuwa na ukwepaji wa hiyo KODI.
TUWE WAZALENDO, SISI KILA KITU TUNALALAMIKA KAMA WAPUMBAVU HIVI.
Msiwe wajinga kwamba ukipanga hauishi kwenye nyumba na kwamba hutakiwi kuchangia kodi au?Nadhani Mwigulu anaamini kila Mtanzania anaishi kwenye nyumba yake kutokana na porojo za uchumi wa kati
Uishi wewe kwenye nyumba afu kodi ya jengo akulipie aliyejenga..kuwa na akili mbona humuambii akulipie kodi ya pango?Bali wanaopaswa kulipa ni wenye nyumba si wapangaji , tafuteni namna ya kuwaengua wapangaji
Ndio watatambulika kwa data base wenyeviti wapo, kwani kodi ya ardhi inalipwaje?Kama Kodi ya majengo inakatwa kwenye LUKU je ambao wana majengo lakini hawatumii umeme watakatwaje ?
Washenzi hao wakatoe mavuzi yao wapate hizo huduma.Ivi nyie watu mnatakaje kwani???
Mnalalama madawa hospital hamna, mara maiti zetu zinalipishwa hela kibao, serikali inafanya ubunifu katika ukusanyaji wa Kodi ili mwisho wa siku maiti za wajomba zenu zisizuiliwe uko mahospitalini, na madawa yawe ya kutosha, Bado tu mnaleta ujuaji mwingiiii
Vitaje hivyo vyanzo vyako hapaMkuu kualalamika ni moja ya kutokubaliana na mambo yanavyo enda
Ubunifu lazima uendane na maisha halisi ya watu
Kwani hakuna vyanzo vingne vya mapato mpaka mwananchi akamuliwe kila mahali
Utakua kichaa sio bureUsiwe mjinga,nyumba ukae wewe kwa kupanga afu kodi akulipie aliyejenga,una akili timamu kweli?
Afu kodi hizi ni nzuri Sana kila mtu achangie
Serikali msiishie hapo tambueni kila nyumba na kiwanja na mashamba kupitia Watendaji wa mitaa na Vijiji Ili kila mwenye kipande cha ardhi alipie,asiyekuwepo maeneo yachukuliwe
Hivi siku hizi kuna waziri kivuli yeyote? Budget yake inasemaje?Yaani naona kabisa bajeti alizo kuja nazo ni mzigo kwa wanachi kuanzia Hili LA kodi ya jengo ukija LA. Laini za simu unaona kabisa huyu ni mzigo kwa watanzania ambao ni walala hoi.
Jiulize mtu amesaidiwa umeme wa LEA na wajukuu huko kijijini Leo unampa mzigo wa kulipi nyumba ambayo hata hadhi ya kuwekewa umeme ilikuwa haina.
Mungu atupe uvumilivu na hili maana naona mpango alifanya vitu ambayo vilikuwa haviendani na watanzania ila huyu kafanya ambavyo havipo kabisa Tanzania.
Kwa minajili ya Serikali kukusanya mapato basi utaratibu mpya utakua bora zaidi kuliko Sasa. Kama swala ni nani alipe kodi kati ya mpangaji na mwenye nyumba basi urahisi ni kua tu siku mpangaji akilipa kodi ya pango kwa mwenyenyumba akate hela yake ya Luku.Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
PAYE = Pay as You Earn.Sina taarifa kwamba kuna watu hawalipi PAYE, unaweza kunifahamisha ni wapi hao....na kwa nini mishahara yao haikatwi kodi? na kwa nini hao wengine walipe 8%...
Tzs 9/-??Km una mshahara wa 270,000 baada ya makato ya nssf unalipa zero PAYE...zamani ilikua 170k...nimekuwekea na link ya TRA for reference, weka 270k uone unapata kodi kiasi gani.
Link: PAYEE Calculator
Kuanzia 270,100/= analipa Tsh 9/= na kuendelea kulingana na mshahara wako
Kwann: hilo swali waulize watunga sheria za kodi akiwemo mbunge wako.
Km ulikua hujui now you know.
Kwa hiyo wewe ulitaka isiwepo kodi ya jengo(MAJENGO)?Mkuu kualalamika ni moja ya kutokubaliana na mambo yanavyo enda
Ubunifu lazima uendane na maisha halisi ya watu
Kwani hakuna vyanzo vingne vya mapato mpaka mwananchi akamuliwe kila mahali
Tuondoe posho zote tunazowalipia viongozi wanunue umeme chakula vinywaji nguo zao na usafiri wajitegemee wawaondolee wananchi mzigo wa kuwatunza na kuwajengea mahekalu. Waishi maisha ya mfanyakazi ambaye anategemea mshahara wake, wanapoomba wanasema wanataka kututumikia wakipata sisi ndio tunawatumikia!!!!si tuliambiwa tufunge mikanda ndege ipae, kwani nyinyi hamkusikia? Fungeni msipofunga mkidondoka hilo ni lenu sasa.
Kwani hao walikuwa na tija gani kwenye bajeti?kwakuwa kamtoa Sabaya na Chalamila wacha afanye tu anachotaka.
Kodi lazima ulipe mkuu na hiyo ya ardhi iwekewe utaratibu ilipwe Ili wapiga domo kama wewe mpige vizuriUtakua kichaa sio bure