Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Umeandika mambo mengi ila nikujibu machache kwa uelewa wangu,

Kuna somo linaitwa "Comparative analysis " hili ni somo,

Lengo la somo hili ni kuwasaidia watu kuelewa tuliko toka tuliko na tunakokwenda,

Watu wanapofanya comparative analysis hawanania ya kumchafua aliyepita ila wanamtumia kama soma la rejea,

Nadhani shida yako hutaki kusikia Rais Samia anafanya zaidi ya wengine
 
Viva Samia viva
 

Sina hiyo shida, hayo ni maoni yako.

Akifanya vizuri wote kama Watanzania tunanufaika na ajira, biashara, maisha mazuri. Mimi nataka afanikiwe on her own merit. Sio muhimu, uungwana kumponda mtu aliyekupa nafasi.

Shida, tatizo ninaloliona ni kuponda, kila kitu, hii strategy if you think about ni ya kitoto sana.

Wewe ulikuwa sehemu ya huo utawala, umepewa nafasi kubwa na huo utawala. Sasa unaponda vipi vitu ambavyo ulishiriki kuvifanya.

Mnaweza kuonyesha mazuri ya SSH bila kutumia nguvu kubwa kukandia mambo aliyofanya JPM.

2015 nchi tayari ilikuwa imeoza, rushwa, ujambazi, madawa ya kulevya, wizi serikalini mfano Tanesco, maji ilikuwa shida, barabara nyingi zilijengwa chini ya viwango nidhamu ya kazi ilipungua. kila aina uhuni ulishamiri.

Yeye (JPM) ameirudisha nchi kwenye mstari.

Of course alikuwa na mapungufu yake, kuna vitu alikosea. Ila kufanya kila kitu alichokifanya kilikuwa cha hovyo ni kukosa weledi.
 
Yaaan nakuunga mkono hawawezii kuxema mema ya mheshimiwa rais samia bila kuponda alichofanya hayati magufuliii
 
Yaaan nakuunga mkono hawawezii kuxema mema ya mheshimiwa rais samia bila kuponda alichofanya hayati magufuliii

Inashangaza sana, ni watu wasiojiamini, au kuamini kazi anazofanya Samia zinaweza kuonekana, kusimama bila kutumia mgongo wa JPM.

Kukandia, kuponda kazi za boss wake, wakati alikuwa sehemu muhimu ya utawala wake ni utoto.
 

Pole Sana ndg yangu, Hii tabia kama ni mbaya basi aliianza Magufuli mwenyewe,

Nenda kasome hotuba zake zote utaona naona alivyokuwa anaulinganisha Utawala wake na ule Wa JK,

hii comparative advantage inafanywa dunia nzima,
 
Inashangaza sana, ni watu wasiojiamini, au kuamini kazi anazofanya Samia zinaweza kuonekana, kusimama bila kutumia mgongo wa JPM.

Kukandia, kuponda kazi za boss wake, wakati alikuwa sehemu muhimu ya utawala wake ni utoto.
Wewe ndio hujiamni,

Either mlidanganya watu au woga tu,

Huwezi kusema Rais kafanya Y bila kusema X ilikuwaje,

So relax hii kazi ndio kwanza imeanza
 
Utateseka sana kama hutakubali kuwa Rais Samia ni zaidi ya wote
 
Utateseka sana kama hutakubali kuwa Rais zaidi ni zaidi ya wote
Unakosea, zaidi ya watu millioni 60 wateseke.

Wala siyo hivyo, ukiamua rais anaondoka siku moja tu.

Amewekwa pale na sisi wananchi. Inatakiwa atekeleze matakwa yao.
 
Pole Sana ndg yangu, Hii tabia kama ni mbaya basi aliianza Magufuli mwenyewe,

Nenda kasome hotuba zake zote utaona naona alivyokuwa anaulinganisha Utawala wake na ule Wa JK,

hii comparative advantage inafanywa dunia nzima,

Tumutoe Magufuli. Utawala wake, hii nchi ingekuwa wapi?
 

Umesahau kuweka namba yako ya simu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…