Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Historia?

Never
 
Wabongo wezi sana au ww Mkenya?

Hapo itakayofika kwenye miradi ni 40%
Zingine ni kodi & chai& usafiri& per diem& michakato etc
Una ugonjwa wa kutokuwa na Imani.Katika Nchi zenye mafisadi umewahi isikia Tanzania ikitajwa?

Hizo zitafika zote na matokeo mtayaona.
 
Sio kushinda,ni ajabu Sana watu kila kitu mnaona hakitawezekana kitapigwa๐Ÿค”๐Ÿค”

Mbona hamna Imani na Serikali nyie ?

Subiria utekelezaji ndio uje kuhukumu ๐Ÿ‘‡

View attachment 2229452
Kwa sababu kijiji changu hakina maji na hakuna dalili ya kuyaleta

nakuona unapiga blah blah tu hapa ndio maana nimeona nikupe ushindi.

Kwanza waziri wako katambi kasema kijana ambaya hajapata mkopo hapa TZ labda anaishi Kenya
 
Am speechless,

Hivi kumbe huyu mama anafanya kazi kubwa kiasi hiki?
Aise Mungu huyu, kumbe Samia ni mtambo mpya mwingine banda ya Mafuli aise,

Naandika nafuta,naandika nafuta, Mungu jalia mipango ya huyu Mama,
Mungu ni mwema, Rais Samia tumwombee tu,
 
Andiko bora kabisa hili,Mungu tupe mvua Tanzania ipone
 
Daah kwenye maji serikari iombewe tuu kweli Tanzania ni inchi ya kuteseka kwa maji kweli?
 
Hizo hela watu walishapiga wamejenga vituo vya mafuta kusubiri kukinga billioni 100 kila mwezi.
 
Uchawa umekuaibisha sana kusifia kitu kisichokuwepo na wananchi kwa sasa wakiteseka kutafuta maji kwa gharama kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ