Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandalizi hayo yalifanyika kwa siku Mia,matokeo yake yanaonekana leo,msishangae,ni jinsi ya kucheza na akili ya mtanzania mnyonge.Hakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
[emoji117]Ununuzi wa..
Kwenda chooni nje ya nyumba yako TOZOHakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
[emoji117]Ununuzi wa...
Hii bajeti fedha zilishafika kulikoelekezwa?Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Nchemba leo Juni 10, 2021 katika Bunge la Tanzania jijini Dodoma saa 10:00 jioni anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2021/2022...
Mambo naona ni kama yale yale alipoishia magu .kama tunakusanya haya matozo basi kuna sehem zinakovujia hizo helaHii bajeti fedha zilishafika kulikoelekezwa?
Ukiona hivyo, basi tambua wewe ni mpangaji tu kwenye nchi unayodhani ni yako!Hakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
[emoji117]Ununuzi wa
Mafuta-TOZO
[emoji117]Barabara Vijijini-TOZO
[emoji117]Kifurushi-TOZO
[emoji117]Kutuma/Kupokea
Pesa-TOZO
KODI[emoji779] KODI[emoji779] KODI[emoji779] kila Mahali.Wapinzani Mkituchelewesha Sana BUNGENI
Bure kabisa hawa. Hatuelewi wanatupeleka wapi kwa kweli…