Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Kwa makusanyo yapiπŸ˜‚ . Hizi budget ni ujinga jinga tu na uchawa pesa zitakazo toka hazitazidi 30% kama kawaida yao. Na mikataba ya sirisiri
Umesoma mada na viambata au umekurupuka?

Kakojoe kwanza urudi kuchangia
 
Wanaziongeza makusudi ili wazitumbie vizuri ki sheria.
Wacha upumbavu,utakiongeza ambacho hakipo?

Hoja ni Samia kuongeza Trilioni 20 Kwa miaka 4 na nusu sawa na mara 2 ya Bajeti ya Mwendazake kwa miaka 5.
 
Aisee Siku Lucas Mwashambwa akiwa na Nondo Hizi na Kujibu maswali kwa Kujiamini kama Ambayo ChoiceVariable hufanya huenda Lucas atapewa Ukuu wa Wilaya..

Nakumbuka Niliwahi kumchimba Choice kipindi cha Zamani nijue kweli anajua Uchumi..
Alinitoa K.O
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kila mtu ana mambo ambayo ndio interest yake.

Mimi sio mtu wa propaganda Bali facts na namba and so hiyo kazi siiwezi maana Kwa asili napenda ukweli na Haki, kwenye siasa kinachofanya kazi ni propaganda zaidi.

Pia Mimi sio mwana ccm ni shabiki tuu wa SSH na Wala hata hanijui ,ukiona nimeandika mada ya Samia nafanya kwa mapenzi binafsi but I gain nothing at all.
 
Mimi Ni mwanaCCM na sio shabiki Mkubwa sana wa Samia Ila namheshimu Sana na Kumpigania japo si hadharani kwa sababu ni Kiongozi wa Chama na Serikali
 
Hahahaa huyu ni Sambaza Shida Hangaisha, halafu Zaa NZI bar yenye wakazi 1,000,000+itakuwa Trillion gapigapi?
 
Bajet kubwa zinakoishia hakujulikan. Awamu ya tano bajet ilikuwa ndogo kuliko ya sasa ila mambo makubwa yalifanyika izi bajet zenu huwa izo pesa zinaishia wapi?
 
Bajet kubwa zinakoishia hakujulikan. Awamu ya tano bajet ilikuwa ndogo kuliko ya sasa ila mambo makubwa yalifanyika izi bajet zenu huwa izo pesa zinaishia wapi?
Mambo makubwa yapi hayo? Kama hutaki kuona unataka nani akulazimishe? Si ni shida zako
 
Hizo ni namba tuu. Ukiza ni ngapi wana peleka kunako husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…