Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Yanga nafas inatengemeza lakin haimaliz vizuri. Ni kama mtu anayetongoza demu alafu haonbi gemuMkimpata Phiri hata nusu fainali mnafika. Naomba litokee hili. Yule mzambia ana balaa zito!
We call them pessimist,they only see the dark side of thingsAcheni kumsingizia na kumpa Lawama beki bora mzawa wa kizazi hiki Bakari Nondo Mwamnyeto
Mlikufa 3 bila Algeria mwamnyeto akiwa benchi lawama mkazipeleka kwa kipa ila kwa mlivyo ile siku angekuwepo Mwamnyeto huenda lawama zote angezioga yeye maana ni wazi ana nyota ya bundi kwenu wana uto hamuoni mazuri yake yaani mechi nzima unamzungumzia kwa tutukio moja tena alilokosea mbn mazuri yake husemi kwenye hiyo mechi?
Bora Aziz aliweza kufanya attempt golini zingeli alikuwa anazurura TU uwanjani ,hii ni CL hakuna space ,Zingeli anazurura TU kwenye mechi ambayo hakuna space.CL ni ya wachezaji kama pacome wanafanya matukio kwenye space ndogo ,AZIZ na ZINGELI wataendelea kuteseka sana sahau habari za VPLKatika kitu aliniboa Jana ni kumwacha Aziz acheze dakika zote hizo afu akamtoa zingeli. Huyu kocha sijui karogwa
SawaBora Aziz aliweza kufanya attempt golini zingeli alikuwa anazurura TU uwanjani ,hii ni CL hakuna space ,Zingeli anazurura TU kwenye mechi ambayo hakuna space.CL ni ya wachezaji kama pacome wanafanya matukio kwenye space ndogo ,AZIZ na ZINGELI wataendelea kuteseka sana sahau habari za VPL
Mbona hilo balaa halifanyi huko alikoMkimpata Phiri hata nusu fainali mnafika. Naomba litokee hili. Yule mzambia ana balaa zito!
Ukiona hajafanya balaa basi ujue yupo benchi.Mbona hilo balaa halifanyi huko aliko
Nchi hii..[emoji848][emoji848][emoji848]Bakari alikosa utulivu, kipa ameshasema mwachie mpira tena kwenye marudio ya television.
Kipa anaonekana akitoa sauti ya kuachiwa mpira yeye kaucheza kwa kichwa na mpira haukufika popote Ina maana alikua na presha.
Yote kwa yote Gamond ndiye aliyefanya mechi kuwa Ngumu kipindi Cha pili.
Amechukua muda mrefu kufanya Sabu na Bado ame mwacha Mudathir nje bila Sabu yoyote ya maana.
Hivi unamwachaje Mudathir nje una mwingiza Zawadi ambaye ata kwenye ligi humtumii marakwamara.
Aziz alikua hastaili kuendelea kuwa uwanjani na Bado ana maliza mechi!!
Kocha ametuangusha Sana.
Utakua una shida binafisiMwamnyeto ameendelea alipoishia tu. Kiwango chake ndo kimefikia pale.
Yule ana shida kubwa sana, hayuko sawa kabisa. Makosa ni mengi mno. Yaani 1v1 zote kazishindwa.Dk za mwisho kwenye purukushani kuna moja alikuwa kama anaokoa ikaenda golini Diara akadaka, kipa asingekuwa golini tayari mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Diarra tu, hata CB's wenzake. Unaona kabisa Job anabeba majukumu ya CB's wawili mpaka anaelemewa. Kocha arudishe tu fullbacks nyuma, back 3 haimsaidii.Kiwango Cha bakari kinatia shaka, Mechi ya Leo ata Diara hakua akimwamini.
Inatakiwa achezeshwe mfululizo ili kujiamini kuweze kurudi.
Na wewe utakuwa huna akili kama unadhani constructive criticism ni kuwa na shida binafsi na mtu.Utakua una shida binafisi
Uliona mbali sana mwanangu.Kama Mudathir hakuwa fit asinge kua kwenye bench.
Kocha ua anakosea kama wanavyo kosea wachezji.
Mudathir sio mchezaji wa kujaribu ila kwa hakika ata ku offer kitu uwanjani Tena vingi.
Offensive atakupa, Defensive atakupa, Battling ndio nyumbani, composure ipo Sasa kocha unahitaji Nini!!
Ana hofu, hajiamini kama awali. ila akitulia ni mchezaji mzuri tu.Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu.
Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa.
Nadhani tunachokiona hata kocha anakiona na ndo maana mechi muhimu sana zisizomuhitaji kocha acheze na back 3 huwa lazima amuanzishe nje, mfano game ya simba. Hata goal la jana na al ahly ni yeye kasababisha kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.
Anyways, Tatizo la Bakari Nondo Mwamnyeto ni nini..?
Shida yake ipo pale paleNdugu mbumbumbu, mpira ni mchezo wa wazi , ukicheza vizuri utasifiwa na ukiharibu uta ambiwa pia. Bakari ni mchezaji wa Yanga na Captain wa timu, Leo hakuwa na mechi mzuri.
Ukiachana na ilo la mawasiliano na kipa, Kuna mpira aliucheza na aka anguka na hakujua ulipo jamaa wa Ahly aliupitia na kutoa pasi iliyo mkuta mchezaji wa Ahly akiwa yeye na Diara bahati kipa akafanya save ya kibabe ikawa Kona.
Kwenye mipira ya Kona yeye ndiye mrefu kwenye ukuta wa Yanga, lakini katika mipira zaidi ya sita amefanikiwa kucheza mmoja.
Anahitajika kurudisha kujiamini haraka Sana kwakua soka analijua.