Bakari Nondo Mwamnyeto ana shida gani?

Bakari Nondo Mwamnyeto ana shida gani?

Hakika gamondi hatotufikisha popte pale hana mbinu za kivita hakika hawezi kutufikisha hatua nzuri ata tumpe miaka mitano
Shida ya Yanga kwa sasa ni kukosa tu finisher wa uhakika. Hafiz Konkoni amefeli, Mzize bado anahitaji muda, Musonda tangu hapo alikuwa ni backup wa mshambuliaji namba 1 wa timu.

Nje ya hapo, Yanga iko vizuri karibia kila idara! Ukiondoa hiyo idara moja tu ya ushambuliaji.
 
Shida ya Yanga kwa sasa ni kukosa tu finisher wa uhakika. Hafiz Konkoni amefeli, Mzize bado anahitaji muda, Musonda tangu hapo alikuwa ni backup wa mshambuliaji namba 1 wa timu.

Nje ya hapo, Yanga iko vizuri karibia kila idara! Ukiondoa hiyo idara moja tu ya ushambuliaji.

Isingekua shida kubwa sana kwa mwalimu mzuri kama nabi yanga inatimu nzuri na imekamilika tu ila mwalimu ndio hawezi kufanya mambo kimkakati that is ...
 
Me nachokiona kwa kocha kosa lake ni kukosa alternative game plan kwa almost kila mechi. Tunatumia viungo kupita na mpira katikati mwa dimba, tukishindwa kufanya hivyo, tunakosa alternative kabisa. Wingers wanaozea bench tu Yanga. Mechi kama hizi kina Moloko wale sometimes wanakiwasha sana. Kocha awe na alternative, anafanya hizi mechi zinakuwa ngumu sana.
Moloko ni majeruhi alikuwepo jukwaani...kama vipi gamondi afukuzwe tukupe wewe ukocha au unasemaje?
 
Kama Mudathir hakuwa fit asinge kua kwenye bench.
Kocha ua anakosea kama wanavyo kosea wachezji.
Mudathir sio mchezaji wa kujaribu ila kwa hakika ata ku offer kitu uwanjani Tena vingi.

Offensive atakupa, Defensive atakupa, Battling ndio nyumbani, composure ipo Sasa kocha unahitaji Nini!!
Mengine yote umejibu vyema kasoro Mauya kakosea nini?
 
Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu.

Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa.

Nadhani tunachokiona hata kocha anakiona na ndo maana mechi muhimu sana zisizomuhitaji kocha acheze na back 3 huwa lazima amuanzishe nje, mfano game ya simba. Hata goal la jana na al ahly ni yeye kasababisha kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.

Anyways, Tatizo la Bakari Nondo Mwamnyeto ni nini..?

Kawaida katika mpira
 
Bakari alikosa utulivu, kipa ameshasema mwachie mpira tena kwenye marudio ya television.
Kipa anaonekana akitoa sauti ya kuachiwa mpira yeye kaucheza kwa kichwa na mpira haukufika popote Ina maana alikua na presha.
Yote kwa yote Gamond ndiye aliyefanya mechi kuwa Ngumu kipindi Cha pili.
Amechukua muda mrefu kufanya Sabu na Bado ame mwacha Mudathir nje bila Sabu yoyote ya maana.
Hivi unamwachaje Mudathir nje una mwingiza Zawadi ambaye ata kwenye ligi humtumii marakwamara.
Aziz alikua hastaili kuendelea kuwa uwanjani na Bado ana maliza mechi!!

Kocha ametuangusha Sana.
Kimataifa Kocha Gamond bado anaitafuta.

Mechi ijayo na Mediama atapanga timu tofauti
 
Mwamnyeto ni beki mzuri na pasi zake ndefu za kuanzisha mashambulizi Hana mpinzani , anajiamini , na tackling zake ni nzuri tatizo moja ni mzito sio mwepesi wa kasi na maamuzi Kama bacca na job .
Lakini Jana yanga imecheza na timu bora afrika wale wachezaji wa Al ahly dhamani Yao na mishahara, Benchi la ufundi nk uwekezaji wake ni mabilioni ya shilingi au mamilioni ya dola .
 
Angekuwa anakosea mara moja moja hapo sawa, kila mechi almost lazima atucost kisa anataka aonyeshe uwezo wake binafsi. Pale Diarra kapiga kelele kabla hajaruka lakini Bakari hakutaka kumskia, mwisho wake ndo ule sasa, tunafungwa goal la kizembe sana.
Tunaacha kuangalia tulipojikwaa ,tunalaumu tunapoangukia
Ile siku tumebondwa na Belouzdad huyu mwamnyeto alichomesha Goli ngapi
Jana kule mbele palikufa muda mrefu, mipira ilikua haikai
Tukienda kushambulia uwiano na wachezaji wa ahly ulikua unakua 1:3 , unaweza kuangalia Goli alilofunga pacome jinsi wachezaji wa ahly walivyokua wengi
Kocha ameng'ang'ania wachezaji wale wale mwanzo mwisho, Mzize, Aziz K, Maxi ,wote walipoteana Jana
Kwa Hali ya kawaida katika mpira usiposhambulia utashambuliwa ww, ndicho kilichotokea
Mabeki wamepambana Sana kuokoa, Kadri muda ulivyokua unaenda kufungwa kulikua kunaonekana obvious
Ila tabia yetu ya kutafuta wa kumvika lawama
 
Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu.

Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa.

Nadhani tunachokiona hata kocha anakiona na ndo maana mechi muhimu sana zisizomuhitaji kocha acheze na back 3 huwa lazima amuanzishe nje, mfano game ya simba. Hata goal la jana na al ahly ni yeye kasababisha kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.

Anyways, Tatizo la Bakari Nondo Mwamnyeto ni nini..?
Daktari akimuongezea maji mgonjwa bila kujua mgonjwa ana Sukari akafa hatukatai juhudi za Daktari. Goli alilofungwa Yanga ni makosa ya Wachezaji si uzembe wa Wachezaji.
 
Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu.

Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa.

Nadhani tunachokiona hata kocha anakiona na ndo maana mechi muhimu sana zisizomuhitaji kocha acheze na back 3 huwa lazima amuanzishe nje, mfano game ya simba. Hata goal la jana na al ahly ni yeye kasababisha kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.

Anyways, Tatizo la Bakari Nondo Mwamnyeto ni nini..?
Tuheshimu Mpira ni mchezo wa makosa na wakati mwingine makosa yapo. Mbona alicheza vizuri tu. Vipi kuhusu mabeki watano wa Al Ahly tuseme ni wabovu wote manake Pacome kafunga goli katikati Yao. Mwanyeto ndio anaonekana mbaya, kweli huyu jamaa ana Damu ya kunguni.
 
Mmeanza lawama zisizo na msingi. Mlitaka msifungwe? Kwani umeambiwa wale Ahly ni Kagera sugar? Hakuna cha sijui nani hajacheza, matokeo yoyote ni sehemu ya mchezo.
Tulia wewe sare sare maua. Tunazungumza ya chumbani mwakarobo hayawahusu.
 
Nadhani ni harakati za kuokoa hayo yanatokea ,hawaongei yeye na kipa halafu ile shambulizi ya piga nikupige unadhani kuna mda hata wa kuwasiliana,mfano kipa angeutema au ukaingia nyavuni wachambuzi watasema kasimama na alikuwa kwenye nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiokoa ukiwa karibu na lango unaokolea pembeni siyo katikati,angle inakua Pana Kama vile mtu anaelekeza tu langoni
 
Shida ya Yanga kwa sasa ni kukosa tu finisher wa uhakika. Hafiz Konkoni amefeli, Mzize bado anahitaji muda, Musonda tangu hapo alikuwa ni backup wa mshambuliaji namba 1 wa timu.

Nje ya hapo, Yanga iko vizuri karibia kila idara! Ukiondoa hiyo idara moja tu ya ushambuliaji.
Hakuna namba sita mwenye asili ya ukabaji. Kuna wacheza rafu tu pale kati
 
Tunaacha kuangalia tulipojikwaa ,tunalaumu tunapoangukia
Ile siku tumebondwa na Belouzdad huyu mwamnyeto alichomesha Goli ngapi
Jana kule mbele palikufa muda mrefu, mipira ilikua haikai
Tukienda kushambulia uwiano na wachezaji wa ahly ulikua unakua 1:3 , unaweza kuangalia Goli alilofunga pacome jinsi wachezaji wa ahly walivyokua wengi
Kocha ameng'ang'ania wachezaji wale wale mwanzo mwisho, Mzize, Aziz K, Maxi ,wote walipoteana Jana
Kwa Hali ya kawaida katika mpira usiposhambulia utashambuliwa ww, ndicho kilichotokea
Mabeki wamepambana Sana kuokoa, Kadri muda ulivyokua unaenda kufungwa kulikua kunaonekana obvious
Ila tabia yetu ya kutafuta wa kumvika lawama
Mzize umemsingizia
 
Back
Top Bottom