Bakhresa amzawadia mjukuu wake gari ya PORSCHE kwa ajili ya birthday yake

Ukweli hauwezi kufutika awashukuru wanasiasa mafisadi hata km una hasira huo ndio ukweli
Kama unaona kuuza ice cream ni deal kauze na wewe
Umekomalia mafisadi mafisadi, miaka ya 80 bakhresa alikua anauza keki na ice cream za koni. Sasa hao mafisadi wako mbona wajukuu wao hawana maferari na ma Lamborghini?
 
Hujui nyuma ya hiyo media kuna mkono wa nani? Hii nchi inaliwa Mungu atuhurumie
Azam Media au Azam TV ina Chennai ngapi na vitengo vingapi? Imeajiri wa TZ wangapi?
Kabla sijauliza makorokoro mengine...!!
Tukubali mtoaji ni Mungu..mruzuku ni Mungu..mkarimu ni Mungu nknknk nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…