Bakhresa, Mo Dewji na GSM Wekezeni kwenye Elimu haswa kwenye Dini zenu

Bakhresa, Mo Dewji na GSM Wekezeni kwenye Elimu haswa kwenye Dini zenu

udini kweli unawaumiza watu, kuna jaamaa humu wao kila kukicha ni kuumiza roho zao juu ya waislamu. Anashinda mchana kutwa kuwaza mambo ya udini wakati hata hiyo dini anayo ipigania haimpi ugali. Waafrica tuna safari ndefu sana.
 
Kupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.View attachment 2723481
Wafuasi wa buddy wakiongea masuala ya kitaifa ndiyo utajua vichwani wamejaza takataka.

Ni aibu kubwa sana kuongozwa na watu waliojaza takataka vichwani.
 
Mtoa mada Unapojinasibu kuwa unaelimu, halafu mambo ya msingi huyajui, inashangaza. Kazi ya kujenga shule sio ya Mo au GSM, hiyo ni kazi ya serikali.

Umetafiti wapi ukaona kuwa waislam wana shida ya shule?
afu anajiita msomi . yaan wagalatia wa tz wajinga sana. humo maofisini wanakazi ya kulogana tu na kupeana vyeo kidini na kikabila na rushwa za ngono.
 
Back
Top Bottom