ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Tafuta pesa elimu ni utumwa wenye vigezoKupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.View attachment 2723481