Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mnadanganywa eti watu hawana elimu 😅😅😅.
Haya hatuna elimu hata kusoma na kuandika hatujui.!!
Haya hatuna elimu hata kusoma na kuandika hatujui.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] Bandari imekuja na Mambo mengi Astaghafirulaaah Laana Tulah[emoji23][emoji23][emoji23]Kupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.View attachment 2723481
Kwa wasio na Elimu utajiri unatokana na Uganga na majiniUtajiri una mahusiano na nini?
Uwezo hawana kila mtu akifeli government anapelekwa seminar ndo anafaulu😅😅hata mapadre wao wamesoma elimu za kubebwa huko seminar huku st kayumba hawapawezi.afu anajiita msomi . yaan wagalatia wa tz wajinga sana. humo maofisini wanakazi ya kulogana tu na kupeana vyeo kidini na kikabila na rushwa za ngono.
Wewe unataka uujadili kama Mtanzania bara wakati wenzako Wagalatia wanaujadili makanisani kama WakristoMimi mbona muislam siutaki kabisa huo mkataba wa milele. Serikali warekebishe hivyo vipengele halafu waulete tuujadili kama watanzania bara
Alaaaaaah tunaaaa kuaaaahlaaa[emoji23][emoji23][emoji23] Bandari imekuja na Mambo mengi Astaghafirulaaah Laana Tulah[emoji23][emoji23][emoji23]
Umasikini wa nchi hii umechangiwa zaidi na hao hao Wagalatia mana wao ndo wamo serikalini kwa zaidi ya 90% na serikalini tokea uhuru.we mjinga sasa nyie mnaa elimu gani simmekariri tu . twambieni mmevumbua nini nchi hii na usomi wenu ?
Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Ila wanasalishwa musikitini na Masheikh. Sisi wakristo watoto wetu wanasoma vyuo hivyo hivyo mbona hawawi matajiri?Bakhresa watoto wake kawasomesha kwenye chuo kikuu cha kanisa ka kikatoliki
Mo dewji pia kasomeshwa chuo kikuu cha cha kanisa katoliki
achana na matajiri waarabu na wahindi wa kariakoo na upanga.Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Utajiri wa mashetani ya baharini bullsh**Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Hivi kuna watu wadini kama waislam,mkristo hawezi kuumizwa roho na muislam hata siku moja kwa taarifa yakoudini kweli unawaumiza watu, kuna jaamaa humu wao kila kukicha ni kuumiza roho zao juu ya waislamu. Anashinda mchana kutwa kuwaza mambo ya udini wakati hata hiyo dini anayo ipigania haimpi ugali. Waafrica tuna safari ndefu sana.
Ally Mufuruki hakuwa na utajiri kiasi cha Mengi hata nusu tu hakuweza kumfikia! Ila kusema kweli kwa waislam wengi matajiri ni warabu na wasomali kwa sehemu kubwa! Mfano ukienda Mwanza au Arusha matajiri wengi ni Wakristo na ukikuta mwislam basi ujue ni Mwarabu au msomali mfano ni Jambo Shinyanga! Hata ukiangalia watu wengi wenye maisha ya angalau wengi ni wakristo japo nao bado kwa ujumla ni maskini!Marehemu Ally Mufuruk?
kuzalisha?.....unadhani hao matajiri wanakumbatia elimu za madrasa au za hapa tz? Wafuatilie, watoto wao wamesoma UK na MarekaniKama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Utajiri siyo elimu, maana imethibitika kwamba wengi wenye elimu hawala pesa ila wasio na elimu wana pesa. Tuseme hata kitabu cha Robert Kiyosaki cha 'Rich Daddy, Poor Daddy' hujawahi kukisoma?Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Wakati mwingine ni kuwa na majini wa kukupa huo utajiri.Kigezo cha kuwa tajiri ni nini?