mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
😅😅😅eh??masheikh wamezalisha matajiri😁😁Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅eh??masheikh wamezalisha matajiri😁😁Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Huyu jamaa ni muislam?Zembwela
Hana dini ni bendera fuata upepoHuyu jamaa ni muislam?
Elimu na maarifa ndio inaleta utajiri sio kukariri unaweza ukawa na division 1 lakini huna akili wewe ni unakariri ndio masna maprofessa wetu wameshindwa kutengeneza hata baiskeliUtajiri hauna mahusiano ya moja kwa moja na Elimu wewe pumbavu.
Kama huna akili hata utachorithi hutaweza kukiendeleza, elon musk alisema people confuse education with intelligenceKuna mambo mengi, rushwa, ushirikina, urithi, juhudi binafsi n.k, elimu inakufungulia dunia kuelewa mambo
Elimu na maarifa ndio inaleta utajiri sio kukariri unaweza ukawa na division 1 lakini huna akili wewe ni unakariri ndio masna maprofessa wetu wameshindwa kutengeneza hata baiskeli
sahihiKama huna akili hata utachorithi hutaweza kukiendeleza, elon musk alisema people confuse education with intelligence
viongozi wengi wamejawa unafki ,ubinafsi ,uchoyo ,uongo ila wenyewe watakwambia wana akili, wanawaambia vijana wajiajiri ila wao wanazeekea kwenye madaraka na kurithishana, akitoka tu kwenye cheo hana maisha marefu kwakuwa amekuwa akiishi kwa kuiba tuUmasikini wa nchi hii umechangiwa zaidi na hao hao Wagalatia mana wao ndo wamo serikalini kwa zaidi ya 90% na serikalini tokea uhuru.
Usomi wao Wakristo ndo umetufikisha hapa tulipo
Wamesaidia nchi kiasi gani?..Mimi mkristo nimeuliza swali, sisi wakristo viongozi wetu wa kidini tunaowasifu kuwa na elimu dunia, wamezalisha matajiri wangapi zaidi ya hao?
Very trueMfanyabiashara badala ya kukuza faida yake aanze kuipunguza kwa kusomesha watu? Hiyo ni kazi ya wazazi/walezi na serikali. Acha ushauri wa kijinga.
Hivi utajiri unatokana na elimu?Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
matajiri wengi wakubwa wana asili ya uhindi na uarabu nionyeshe billionea wa kimatumbi.Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Usisahau kwamba jamaa kakuita mpumbavu!Utajiri una mahusiano na nini?
Ujinga ujinga tu mnajadili.Kigezo cha kuwa tajiri ni nini?
Badala ya kutafuta zako unaishi kusifia wanaume wenzako🤣 🤣Utajiri una mahusiano na nini?