butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Nitajie Matajiri Wasomi wa Kiislamu hapa Tanzania,ukiacha Mo ambaye karithi na kuendeleza Mali za Baba yake!Utajiri una mahusiano na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie Matajiri Wasomi wa Kiislamu hapa Tanzania,ukiacha Mo ambaye karithi na kuendeleza Mali za Baba yake!Utajiri una mahusiano na nini?
Mufuruki naye alikuwa tajiri au Dalali wa Wazungu!Marehemu Ally Mufuruk?
Mkimaliza kushindanisha kwenye elimu na utajiri, mtafatia dini ipi ina madem wakali, dini ipi ina wanaume wenye vichaa. Ni utoto na ujingaNitajie Matajiri Wasomi wa Kiislamu hapa Tanzania,ukiacha Mo ambaye karithi na kuendeleza Mali za Baba yake!
Sasa unabishana na ukweli? Tena wala sio mkatolikiHuyo Dr Macha usitudanganye hapa kwamba ndo Mkristo tajiri kisa kuwekeza bilion 7 DSE!
Na Zanzibar ndiyo Kuna maendeleo maana serikalini wamejaa wao tu!Umasikini wa nchi hii umechangiwa zaidi na hao hao Wagalatia mana wao ndo wamo serikalini kwa zaidi ya 90% na serikalini tokea uhuru.
Usomi wao Wakristo ndo umetufikisha hapa tulipo
Huyu utajiri wake wa mashaka,hapaswi ata kutajwa!Kikwete
Hizo ni propaganda tu ccm wameamua kuzitengeneza waislam wenye elimu hawaukubali kama kuna watetezi wa bandari muda utaongea subiri watakavyo anza kuamishwa makazi yao bila fidia si wamejaa hapo darInashangaza eti,Wenzetu Muslim wanataka DP world halafu Christian hawataki.
Wakristo mdomo ndio umezidiKama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Kipi Bora Elimu au pesa?Utajiri hauna mahusiano ya moja kwa moja na Elimu wewe pumbavu.
Inamfungulia Dunia 😂😂😂🙄Mtanzania mwenye elimu anaishi wapi anafanya nn elimu yake inanufaishaje taifa
Kipi Bora Elimu au pesa?
Jibu ni Moja tuu pesa,blaa blaa zingine hazina nafasi ,tafuta pesaJibu linategemea mtu, however kila mtu anapokuwa anajitahidi kuwa na rasilimali za kujikimu, na kulea familia yake kwa ufanisi na hayo yanaitaji fedha.
Akimleta na ondoka jf sirudi tena. Atuoneshe mbantu mwenye mbesa kufikia level ya mengi..? Kama sio hawa za dua chafu tu mtaaniHao ni waarabu kenge wewe..nitafutie muislamu mweusi tajiiri km alivyokuwa Mengi.
Acha uoga mkuu 😂😂Huyu utajiri wake wa mashaka,hapaswi ata kutajwa!
Kwa Nini wabusu jiwe uwa mnataka kuwa wakristo?Kama ni hivyo kila
Kwa nini wakristo tunashindwa? Ni mafundisho ya Viongozi wetu wa kidini au?
Quran Karim Ndio iliyosema!Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Anazungumzia Mashekhe weusi, wenye pua na lips pana na nywele ngumu nyeusiKama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Na kula kwenye siniaToka hapa mfia dini endelea kulala kwenye mkeka.
Awajumuishe na Mhindi wa India (Mo Dewji) na Mwarabu wa Oman (Bakhressa)?Niwekee Top Ten ya Matajiri hapa Tz tuanzie hapo