Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Unajua Muddy nayeye alikuwa anafanya mambo ya haramu mengi sana sema tuu alikuwa anamsingizia mungu wake wa kutunga "Allah" kwamba amemruhusu kufanya hayo mambo

-Kumuoa mkwe wake(zaynab)
-Kufanya mapenzi na female captives(Saffiyah)
-Kuoa wanawake wengi, idadi mara nne ya wanawake aliyowaruhusu wenzake kuoa
-kukataa kwamba wake zake wasiolewe yeye akifa, wakati yeye alikuwa anaoa wake wa wenzake wakifa
-kufanya mapenzi na wanyama
-kuua waandika mashairi waliokuwa wakimkosoa(Asma Bint Marwan)
Na mengineyo mengi....

My your business.
Mwache mzee wa watu atafute riziki.
Huyo mungu anaye kuongoza kuchukia binadamu wenzako sio mungu, hakuna mungu wa namna hio, "allah the moon good" ni mmoja kati ya miungu hewa 360 iliyokuwepo pale Mecca kipindi cha muddy.


We ushawahi hata kununua tofali la msikiti?
Wewe mjane mbona unatokwa povu kama vile umetafunwa kisha ukadhulumiwa malipo yako?

Jitulize ili uje upate posa nyingine,kukata viuno hapa utapoteza hata waliokua na nia ya kuja kukuchumbia.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Duh!...
 
93e4e61c962b5cb8a9ac79626b2f242e.jpg
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Umeongea jambo sahihi katika eneo lisilo sahihi.

Maambo kama haya ya kiimani kuyaleta JF kwa watu wenye imani tofauti basi tegemea kuharibu na sio kujenga.

Hapa utafanya watu watukane dini ya uislamu na wafuasi wake


Mambo kama haya peleka kwenye website au magroup ya dini ya kiislamu
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Pale uwanja wa Mpira wa Azam Kuna msikiti na maji yapo kibao kama wewe Muislam ukienda pale kuangalia Mpira hauna sababu ya kukosa kufanya ibada

Tamthilia za kituruki Zina maudhui ya kidini Mimi binafsi nimekifunza historia nyingi za kidini Kwa hizi tamthilia

Hi tamthilia ya Sasa Kuna Mtawala wa kirumi anaitwa Gregory ndio aliyetabiriwa na Yesu pamoja na Daniel kuwa atabadili majira angalia utajifunza mengi

Kuhusu Mpira Azam hawajahi kuonyesha michezo inayodhaminiwa na pombe Wala Kamali ndio maana hawajawshi kuonyesha michuono ya Taska wa sports pesa

Mwisho Azam wasipokuwa na kisimbusi watu watatumia visimbusi vya makafiri vipo vingi labda ndilo unalotaka
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Tutajie wewe mema yako na mabaya tulinganishe
 
Huyo Jamaa yuko Brainwashed sana na hayo mavitabu ya Karne ya Saba.

Mpaka haelewi kipi ni fact na kipi ni fiction.
mkuu unaamini kuna matajiri wasafi, kwa scale ya watu kama bakhresa na dewji?

mbona naonaga kama wewe ni mtu wa kuhoji...

mleta mada ana uwasilishaji mbovu sema hoja anayo sana tu

kuna mifumo mibovu wanaitumia kujikisanyia mali wasizohitaji

ningekuwa kwenye nafasi yao nisingelalamika ila ukweli unabaki mambo yao yana utata

na huku africa bado tuna ushamba wa kuabudu matajiri tupo tofauti na wenzetu wa ughaibuni, kina bakhresa watakuwa wanakula bata sana
 
Back
Top Bottom