Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu.
Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.
======
BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo
Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani
Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.
======
BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo
Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani