Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Famchezo nini mpaka BASATA tumewazidi ubunifu wanatuonea wivu sasa 😀Cc: Mzee wa kupambania 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Famchezo nini mpaka BASATA tumewazidi ubunifu wanatuonea wivu sasa 😀Cc: Mzee wa kupambania 😜
HatareeFamchezo nini mpaka BASATA tumewazidi ubunifu wanatuonea wivu sasa 😀
Noma sana 😀Hataree
Ila maneno ya kiarabu kama MUBASHARA wanakubali kufuta LIVE lililozoelekaBaraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Ohoooooo !!!!Ila maneno ya kiarabu kama MUBASHARA wanakubali kufuta LIVE lililozoeleka
vipi maandalize ya kumbukiz ya dictator yanaendeleaje kule chato.Habari za Maalim Abubakari Mbowe hujapata leo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikua sijui maana yake tuwashukuru bakita kwa ufafanuzi. Fabakita
Hiyo pia hasa ndio kazi yaoHivi wanetu hawanaga kazi huko ofisin au?
🤩Habari za Maalim Abubakari Mbowe hujapata leo?
Wachafuzi wa lugha wamepigwa pini...😂😂😂Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Habari za Maalim Abubakari Mbowe hujapata leo?