Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Mbona chengine😁🤣Kuna mtu pia huwa anatumia maneno haya
"Kitu chengine ndugu zangu...."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona chengine😁🤣Kuna mtu pia huwa anatumia maneno haya
"Kitu chengine ndugu zangu...."
BAKITA sijui wana shida gani huko, kuna maneno ya msimu ambayo huwa hayaepukiki kwenye marika mbalimbali...BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu.
Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.
======
BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo
Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani
Alafu chachuuHivi BAKITA kwanini tablet mliamua kuiita kishikwambi,neno reeefu hilo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16]Alafu chachuu
Maneno mengi sio sahihi kwa mfano unamsikia mtu anasema "nafurahigi" hili neno sio sahihi, neno sahihi huwa nina furaha au nina furahia.BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu.
Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.
======
BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo
Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani
Kiswahili cha Unguja hicho.Mbona chengine😁🤣
Acha ushamba, kuwa updated.BAKITA sijui wana shida gani huko, kuna maneno ya msimu ambayo huwa hayaepukiki kwenye marika mbalimbali...
Badala ya kuhangaika na haya kwanini wasingehangaika na mashairi yaliyojaa matusi kwenye nyimbo za bongo fleva?