BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu.

Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.



======

BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo

Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani
BAKITA sijui wana shida gani huko, kuna maneno ya msimu ambayo huwa hayaepukiki kwenye marika mbalimbali...
Badala ya kuhangaika na haya kwanini wasingehangaika na mashairi yaliyojaa matusi kwenye nyimbo za bongo fleva?
 
BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu.

Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya masihara nini na Unafanya utani nini” ambayo ni fasaha na sanifu ikiwa ni sehemu ya kujivunia kiswahili ambacho ni tunu ya Taifa.



======

BAKITA yakanusha kutoa onyo la matumizi ya maneno hayo

Zaidi Tembelea jukwaa la Jamii check UZUSHI - BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani
Maneno mengi sio sahihi kwa mfano unamsikia mtu anasema "nafurahigi" hili neno sio sahihi, neno sahihi huwa nina furaha au nina furahia.
 
BAKITA sijui wana shida gani huko, kuna maneno ya msimu ambayo huwa hayaepukiki kwenye marika mbalimbali...
Badala ya kuhangaika na haya kwanini wasingehangaika na mashairi yaliyojaa matusi kwenye nyimbo za bongo fleva?
Acha ushamba, kuwa updated.
Screenshot_20230317-161320.jpg
 
Back
Top Bottom