BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .

Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Waache ujinga hayo n maneno ya mtaani tu mbona yapo mengi TU? Watayazuia yote? Na kwa Sheria ipi? Fanyeni kazi
 
Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .

Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Kiki tu hiyo..., unazuiaje mtu kuongea neno lisilo tusi wala dhihaka kwa yeyote?
 
Hii nchi kila mtu kawa kambale aisee matamko kila mahali.
 
Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .

Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Swali kwa BAKITA
  1. Lile katazo la kutotumia neno Mwendazake pamoja na wasela wenzao wa madhabahuni walifanikiwa?
  2. Je wana jeshi la kuwakamata watakao kiuka takwa lao
  3. Ni maneno mangapi hadi sasa walishazuia yasitumike na kweli hayatumiki
  4. Je wwamefanya juhudi gani kuzuia uharibifu wa lugha kwenye maneno kama "abari, ela, araka, hamani, hangalau, akuna nk"
 
Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .

Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Haya ndio madhara ya watu kutokuwa na majukumu ya kueleweka
 
Back
Top Bottom