Supercomputer
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 634
- 1,311
Mzee, Serengeti wanatafunwa na karanga zaidi ya bazooka.Ukifika getini wanasisitiza 'Jeshi hakuna dini'
Pia sio lazima kwendq jeshi hujalazimishwa.
Pamoja na yote zile nguo kwnye mitikasi na mikiki ya jeshi wala hutowatamani kabsaa Serengeti
Kwan Nchi yetu ina utaratib kama wa Afghanistan? Kama sivyo bas wavumilie hakuna namna!!Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Apo kurura hana hamu akiachiwa ata dakika 1 anasinzia mzee mpaka unaweza kuhisi umekua hanithiMzee, Serengeti wanatafunwa na karanga zaidi ya bazooka.
Maana wao kila kitu wanataka wasikilizwe wao tu je na sisi tukisema hakuna kula kilichochinjwa na nyumba ya jirani patakalika kweli?Bwashee kila kitu mnataka nyie tu? Hebu sisi Wagalatia tupeni break tupumue!
Kwamba wavae kobazi😂😂😂😂Mkifanikiwa hapo mtadai Polisi wa imani hiyo wavae baraghashia mkimaliza hapo mtadai Wanajeshi wa imani hiyo wasivae buti.
unaongelea huu uislam ulioanza miaka 1500 iliyopita?Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Nachelea kusema huna akiliNimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Hao jamaa some time kwa unafiq hawajambo.Waambie waache kwenda JkT hawalazimishwi!