Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Post ya msingi sana hii.Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Haaaaa,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwani waarabu hawana wanajeshi wanawake? Kama wapo basi mama aiuze JKT kwa waarabu ili waje waboreshe mavazi ya watoto wa kike jeshini.
hatari ganiHatari sana 🙏🏾
Unafikiri kumbeba hivyo mwenzio ni kazi ndogo?hatari gani
mazoezi ya kawaida kabisa hayo kwa mtu makiniUnafikiri kumbeba hivyo mwenzio ni kazi ndogo?
Aki vile kwa GROUND vitu huwa ni DIFFERENT! Can't imagine what was the situation to AFANDE MADILISHA 😂mazoezi ya kawaida kabisa hayo kwa mtu makini
Kuungaje mkono?Kuna wakristo ambao huwa wananishangaza sana, yani mtoto wako au dada yako yupo kwenye hali hiyo halafu mzazi kama mzazi anashabikia na kuunga mkono huo ujinga, aise mna kazi
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.Unashangaa mavazi,,Kiti Moto Pia jeshini si Kosa siye twala tuu.
Unashangaa mavazi???Kuna kiti Moto Huku twala tuuu shehe wanguNimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kuungaje mkono?
Jeshi halina dini punguzeni kimbelembele ya kule hayafanani na uraiani huku.
Utakuwa ujinga kama wa kuswali masjid haram kwamchanganyiko wa wanawake na wanaume pamojaBinti kuvaa kimini, dada kuvaa kimini/nusu uchi au kutembea na minywele wazi kadamnasi, wavulana na wasichana kusoma darasa moja, na hilo la JKT n.k n.k. sasa ukisapoti huu ujinga, mtoto atajifunza nini kutoka kwa wazazi!!!
Aleyommba gekke, bhujiku ng'waka nkoi