BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Yani kwamba unataka wakapige kwata wamevaa mahijabu alafu wavae na nguo za kuwafunika mwili🤔🤔 pale sio msikitini Wala sio kwenye muhadhara wa kidini, kama mnaona hizo Sheria ni za hovyo msipeleke watoto wenu kule, hiyo dini yenu imewatia upofu kupitiliza sasa
Kipofu ni wewe unaedhani dini huvaliwa na kuvuliwa ili kujiridhisha au kuridhisha wengine! lazima utambue misingi ya dini nyengine kabla huja-assume misingi ya dini yako ndo hiyo hiyo pia ya dini nyengine. Uislamu ni mfumo wa maisha i.e. imani na vitendo, pengine dini yako ni imani peke yake basi usidhani dini zooote duniani zinapaswa kuwa ni imani tu peke yake tu.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Jeshi halina dini, ni kichura kwa kwenda mbele.
 
Tukaja na muswada wa Mahakama ya kadhi, WEEE ilileta shida ile mpaka tukajilaumu. Yaani jambo dogo TU wagalatia walipaniki kweli.
Mnatamani Tanzania iwe nchi ya Kiislamu? Mlifaulu Hijabu mashuleni Sasa mmenogewa?
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kwani lazima kwenda Jeshi?
 
Kipofu ni wewe unaedhani dini huvaliwa na kuvuliwa ili kujiridhisha au kuridhisha wengine! lazima utambue misingi ya dini nyengine kabla huja-assume misingi ya dini yako ndo hiyo hiyo pia ya dini nyengine. Uislamu ni mfumo wa maisha i.e. imani na vitendo, pengine dini yako ni imani peke yake basi usidhani dini zooote duniani zinapaswa kuwa ni imani tu peke yake tu.
Kama mnataka kuishi kwa kufuata misingi ya dini yenu nendeni mkaishi Afghanistan kwa talban, tofauti na hapo mtafuta taratibu zilizopo mnataka au hamtaki
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.

Tumeamua kufata serikali isiyo na dini. Haya ndio madhara yake kwa waislam.

Kuondoa fitna hii tutafute au kuanzisha chama kitachounda serikali za dini zote. Lengo si kuanzisha serikali za kidini laa, Lengo ni kulinda tamaduni, ibada za dini zote.

Binti wa kike kuvaa uniform sawa na imani ya dini ni kumpa haki yake ya kuabudu. Lkn kwa tz halindwi bali hudhibitiwa.

Bahati mbaya jambo hili nitapingwa hata na chama MBADALA chadema.

Lkn ktk nchi zinazolinda dini zote; wasichana wako huru kujisitiri
 

Attachments

  • Screenshot_20220220-204454_1645379131488.jpg
    Screenshot_20220220-204454_1645379131488.jpg
    89.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220114-215050.jpg
    Screenshot_20220114-215050.jpg
    83.7 KB · Views: 1
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
We nae acha kusumbua Bakwata kwa upuuzi umekaa umeshiba maharage yako umekaa gas unakuja kupost ujinga,kama mavazi hayaendani mtu na Dini kwani lazima kwenda kwenye jambo ambalo sio la muhimu linaharibu imani yako???!!hivi utafanyaje mazoezi na Jilbab guo pana???!
 
Kwa haraka haraka nimeona comment za wengi humu hawaelewi kiundani hoja ya mtoa mada na uzito wa hiyo hoja. Ni kweli sio lazima kwenda jeshini kama career ila nadhani ni sheria kwa wahitimu wa form six kwenda huko ili wapate kigezo mojawapo cha kuajiriwa serikalini.

Kwa yote mawili ya career ama post form six requirement raia wote wanapaswa wawe na haki sawa ya kushiriki. Serikali haina dini na pia haipaswi kumvua mtu dini yake, so kumlazimisha binti wa kiislamu kuvua dini yake kimavazi na hata kumnyima haki yake ya kuabudu hii ni kinyume na katiba kwa kuwa watu wote ndani ya Tz wana haki ya kuabudu kwa imani zao. Napenda wasiokuwa waislamu waelewe kuwa Uislamu sio kusali tu bali ni mfumo mzima wa maisha ya mtu so hauwezi kumchagulia wewe kipi akifanye katika dini yake na kipi akiache.

Ili kuhakikisha raia wote wamepewa haki sawa nadhani kuna haja ya kuweka option ya usimamizi tofauti (Female only) na huo wa mchanginyo. Mwanamke wa kiislamu na wakikristo wanaweza kuchagua pande ya kujiunga katika hizo, then yule muislamu atakuwa na dharura ya kupunguza katika mavazi (ikiwemo kutovaa babaui) kwa kiwango kinachokubalika katika dini akiwa yupo na wanawake wenzake tu.

Hivi niulize tu, ni percentage ngapi ya female soldiers wanaoshiriki kwenye mapigano ya vita moja kwa moja?
Pumba kabisa

Nimepiga kozi na sister wa katoliki na alifata sheria zote kama jeshi linavyoelekeza.
Acheni kujipa uspesho ambao hauna maana.

Sio lazima kuhudhulia mafunzo .
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.

Mwarabu mweusi kumekucha
 
Tumeamua kufata serikali isiyo na dini. Haya ndio madhara yake kwa waislam.

Kuondoa fitna hii tutafute au kuanzisha chama kitachounda serikali za dini zote. Lengo si kuanzisha serikali za kidini laa, Lengo ni kulinda tamaduni, ibada za dini zote.

Binti wa kike kuvaa uniform sawa na imani ya dini ni kumpa haki yake ya kuabudu. Lkn kwa tz halindwi bali hudhibitiwa.

Bahati mbaya jambo hili nitapingwa hata na chama MBADALA chadema.

Lkn ktk nchi zinazolinda dini zote; wasichana wako huru kujisitiri
Wagalatia wanadhani sheria za jeshi zimetoka kwa YESU.
 
Kama mnataka kuishi kwa kufuata misingi ya dini yenu nendeni mkaishi Afghanistan kwa talban, tofauti na hapo mtafuta taratibu zilizopo mnataka au hamtaki
Na nyinyi kama bandari hamtaki iendeshwe na MWARABU hamieni Kenya au Msumbiji au hata Somalia, huko MWARABU hajapewa uendeshaji.
Mkiendelea kubaki hapa mtake msitake MWARABU ataendesha na kusimamia bandari zetu.
 
Nyie ndio mnawqnyima wafu fahari ya macho na maushungi yenu na mabaibui
 
Hii Nchi sio ya kiislamu, taratibu zifatwe za kijeshi hakuna urembo kule
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Wale wenzangu wote tulopita JKT enzi hizo kunyoa upara kuna maana moja tu, ni kushushwa chini ili kujengwa morali mpya na nyote kuwa sawa bila kujali mtoto wa mkubwa wala tajiri gani au bwanyenye yupi au wa nani.

Hiyo ndo maana halisi ya watu kunyolewa upara huko JKT na makambi mengi katika nchi zingine kwa vijana.

Tatizo ni elimu na miongozo hafifu baada ya vijana kupata nafasi ya kujiunga na JKT.

Kwanza hupewa barua ambayo huambatana na maelezo yote muhimu kuhusu kambi utayokwenda.

Pia kutakuwa na kanuni zote zihusuzo mavazi, sare, malazi na sheria zote katika muda wote utakaokuwa kambini.

Kunyoa upara ni jambo la kawaida kabisa maana hadi wamaliza mafunzo wenye nywele zako zishakua ati.
 
Jeshi halina dini
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
 
Na nyinyi kama bandari hamtaki iendeshwe na MWARABU hamieni Kenya au Msumbiji au hata Somalia, huko MWARABU hajapewa uendeshaji.
Mkiendelea kubaki hapa mtake msitake MWARABU ataendesha na kusimamia bandari zetu.
Sasa muarabu anaingia wapi kwenye hilo swala 🤔🤔
 
Back
Top Bottom