BAKWATA: Mwezi haujaandama, Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa 14 May 2021 Siku ya Ijumaa, Sherehe kufanyikia Dar

BAKWATA: Mwezi haujaandama, Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa 14 May 2021 Siku ya Ijumaa, Sherehe kufanyikia Dar

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Waislam duniani kote wanasubiria kuandama kwa mwezi ili kujua kama kesho ni sikukuu au laa.

Kwasisi hapa Tanzania chombo kinachopaswa kutangaza sikukuu hiyo ni Bakwata.

Ewe mwana jf kama utakuwa na taarifa zozote huko ulipo kwa waliopo Tanzania, tujuzane kama mwezi utakuwa umeonekana maeneo yako ili kuwasaidia Bakwata na waislamu kwa ujumla.

Karibuni...

=====

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewajulisha Waislamu na Wananchi wote kwa ujumla kuwa Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa kati ya Alhamisi May 13,2021 au Ijumaa May 14, 2021 kutegemea kuandama kwa mwezi.

Sherehe za Eid El- fitr kitaifa kwa mwaka huu zitafanyika Dar

20210513_031815.jpg
 
Waislam duniani kote wanasubiria kuandama kwa mwezi ili kujua kama kesho ni sikukuu au laa.

Kwasisi hapa Tanzania chombo kinachopaswa kutangaza sikukuu hiyo ni Bakwata.

Ewe mwana jf kama utakuwa na taarifa zozote huko ulipo kwa waliopo Tanzania, tujuzane kama mwezi utakuwa umeonekana maeneo yako ili kuwasaidia Bakwata na waislamu kwa ujumla.

Karibuni...
Kama nawaona kuna wazee washafanya booking lodge neema ya mwezi mzima inapotea kwa siku moja.

Mwenyewe nishaanza kuhisi Iddi kesho hamna,mpaka mda huu sioni tamko.
 
Back
Top Bottom