BAKWATA: Mwezi haujaandama, Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa 14 May 2021 Siku ya Ijumaa, Sherehe kufanyikia Dar

BAKWATA: Mwezi haujaandama, Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa 14 May 2021 Siku ya Ijumaa, Sherehe kufanyikia Dar

Nayataka sababu mimi ni kati ya hiyo jamii, naishi nao, nakula nao, nafurahi nao na kulia nao pia..... Au unataka nikuachie wewe na nani?

Wewe si muislam, ulivyofunga wewe kwaresma hakuna mtu alihoji kwanini walokole hawaamini pasaka sijui Christmas, hivyo nakushauri fuata hii aya hapa chini

(لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ)
[Surat Al-Kafirun 6]
 
Wewe si muislam, ulivyofunga wewe kwaresma hakuna mtu alihoji kwanini walokole hawaamini pasaka sijui Christmas, hivyo nakushauri fuata hii aya hapa chini

(لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ)
[Surat Al-Kafirun 6]
Ww acha undezi kujifanya uislam ni dini ya baba yako ...Uislam ni dini huru mtu yeyote akiupenda anakaribishwa wala si dini ya ungomvi ila wamatumbi km nyie ndo mbaifanya km ya babu yenu na kuwaona wengine ni hawafai
 
Back
Top Bottom