Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si muislam, ulivyofunga wewe kwaresma hakuna mtu alihoji kwanini walokole hawaamini pasaka sijui Christmas, hivyo nakushauri fuata hii aya hapa chini
(لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ)
[Surat Al-Kafirun 6]
Mkuu kwani wewe una hati miliki ya dini?
Maana naona unaibinafsisha hiyo imani wakati yoyote na muda wowote aweza kuamua kuwa muislam
Mtume SAW angekua na hulka yako waislam wangekua makka na madina tuu
Acha unyimi
Tofautisha hayo unayoyasema na ninayokuambia mimi, maana mimi sijakunyuma wala kukukataza kuingia kundini ila hoja unataka tujadili kuhusu ikhtalafu za mwandamo wa mwezi ili hali wewe si katika sisi hiyo ni haki?
Wasiwaige TFF
Kama nawaona kuna wazee washafanya booking lodge neema ya mwezi mzima inapotea kwa siku moja.
Mwenyewe nishaanza kuhisi Iddi kesho hamna,mpaka mda huu sioni tamko.
Ha haaaaaaaaaaa hii balaa jaman.Ulionekaa Dodoma jana, Ndugai akauficha!
Miaka yote Kenya mwezi unawahi kuonekana
Sijui dhehebu kubwa la kenya ni tofauti na la tanzania au huwa wanachoka kufunga [emoji848][emoji848]
Kaka imetangazwa kweli auMufti ashatangaza kesho Iddi, source Itv.
Wewe si muislam, ulivyofunga wewe kwaresma hakuna mtu alihoji kwanini walokole hawaamini pasaka sijui Christmas, hivyo nakushauri fuata hii aya hapa chini
(لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ)
[Surat Al-Kafirun 6]