Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sijui utaonekanaje maana sehemu kubwa ya nchi ni mawingu mazitoKesho tunafunga kama kawaida Mwezi bado haujaonekana
Embu tukubaliane tu mwezi umeandama na kesho sikukuu. Nimesema tukubaliane tu, sijasema mwezi umeandama au haujaandama.
Kwa nia njema tu.
Ninayo gheto njoo uione..😃Picha ya mwezi ukiandama iko wapi.. ??
Wazee wameshatenga kilo zao kadhaa za kitimoto IDD ikitangazwa tu ni TAKIBIIR...!Kama nawaona kuna wazee washafanya booking lodge neema ya mwezi mzima inapotea kwa siku moja.
Mwenyewe nishaanza kuhisi Iddi kesho hamna,mpaka mda huu sioni tamko.
huna mikazoSisi tunafungua kesho kwa uhuru wa kuabudu tuliokuwa nao
Tff ya waisalam (Bakwata) wamesema kesho hapana......mfungo unaendelea
Ha haWazee wameshatenga kilo zao kadhaa za kitimoto IDD ikitangazwa tu ni TAKIBIIR...!
Ukimtongoza Ustaadhat anakuambia tafadhali subiri mfungo wa Ramadhan uishe
Hii dunia ina raha yake sometimes
Kutakuwa na dharula ya kigavamenti meibii, ndiyo maana Bakwata wamesogeza mbeleHahahahaha Wapumbavu sana hao kwani mwezi ukionekana Kenya haitoshi!? Kenya kesho ni sikukuu.,
Na kama sisi wa imani nyingine tukiuona tutaaminiwa tukiwaambia?Ewe mwana jf kama utakuwa na taarifa zozote huko ulipo kwa waliopo Tanzania, tujuzane kama mwezi utakuwa umeonekana maeneo yako ili kuwasaidia Bakwata na waislamu kwa ujumla.
Kutakuwa na dharula ya kigavamenti meibii, ndiyo maana Bakwata wamesogeza mbele
Waislam duniani kote wanasubiria kuandama kwa mwezi ili kujua kama kesho ni sikukuu au laa.
Kwasisi hapa Tanzania chombo kinachopaswa kutangaza sikukuu hiyo ni Bakwata.
Ewe mwana jf kama utakuwa na taarifa zozote huko ulipo kwa waliopo Tanzania, tujuzane kama mwezi utakuwa umeonekana maeneo yako ili kuwasaidia Bakwata na waislamu kwa ujumla.
Karibuni...