BAKWATA wafanya Maandamano kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja, Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia na Mauaji

BAKWATA wafanya Maandamano kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja, Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia na Mauaji

Wangeenda kufanyia maadamano Zanzibar kwa waisilamu wenzao, wangekutana na upinzani mkali
 
Haya maandamano ya BAKWATA ni maandamano yasiyo na kichwa wala miguu. Nani anayapokea? Wanamuonesha nani?

Ingeleta maana kama wangeyaelekeza kwenye balozi ya moja ya nchi zinazowakubali mashoga balozi wao akawajibu.

Sasa nani angewajibu hoja zao? Hawa waislam huwa wanakurupukaga na maandamano yao. Wakimaliza kuswali swala zao, wanahamasishana kuandamana, hao mbio barabarani kuandamana maandamano yasiyojibiwa.

Waende ubalozi wa EU wakajibiwe hoja zao za kupinga ushoga
 
Haya maandamano ya BAKWATA ni maandamano yasiyo na kichwa wala miguu. Nani anayapokea? Wanamuonesha nani? Ingeleta maana kama wangeyaelekeza kwenye...
Mashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?

Umesikia wewe unayeteswa na Islamophobia kila siku?

Kwenye jamii ya watu waliostaarabika lazima machafu yapingwe,hutaki meza Tofali.
 
Mashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?

Umesikia wewe unayeteswa na Islamophobia kila siku?

Kwenye jamii ya watu waliostaarabika lazima machafu yapingwe,hutaki meza Tofali.
mtaweza wapi nyie? Tulieni tu huu muziki kwa nyie hamtauweza. Tena mnakosea sana approach ya kupinga. Bora mgebaki huko ndani ya majumba yenu ya kuabudia mpinge huko. Huku nje mashoga wanawachora tu
 
Mashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?

Umesikia wewe unayeteswa na Islamophobia kila siku?

Kwenye jamii ya watu waliostaarabika lazima machafu yapingwe,hutaki meza Tofali.
hamezi mtu tofali. Mnakurupuka sana, kwani nyie na hao wanao impose ushoga duniani ni nani amestaarabika? Nchi zinazounga mkono ushoga ndizo zimestaarabika kuliko nyie.
 
View attachment 2539078

Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.
---

Pia soma
- BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo

View attachment 2539048

View attachment 2539068

View attachment 2539077
Baraza kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata ) Mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.

Aidha Bakwata Mkoa wa Mwanza, wamesema wamepokea na kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt, Abubakari Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali matendo yote haramu

Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke ameishukuru Serikali kwa umakini wake wa kuchukua hatua za haraka pale tu inapobaini kuwepo na ulazima wa kupiga marufuku kuendelea kutumika kwa vitabu visivyo faa katika shule zetu nchini

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Alhaji Nuhu Jabir Mruma amelipongeza Baraza Kuu la Waislam Mkoa wa Mwanza kwa kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali viendo vyote haramu.

Mzawa

Hawa jamaa wanakosaga vya kufanya,kwahiyo nchi hii tatizo kubwa ni ushoga?blakfaken
 
Jamaa mmoja kanisimulia aliamua kujaribu kuchomeka baada ya kushawishiwa na wenzie, akaneleza utamu aliopata hatswahi acha anadai joto la kule kusini ni kali sana huchukui dakika tano hujamwaga razi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oyaaa! shimo la tunu!
 
Waelekee kule hospital sasa wakang'oe zile bendera za upinde wa mvua, km kweli wanamaanisha uislamu ndio unapinga ushoga kidhati nendeni mkang'oe zile bendera za mashoga haraka sana anzeni na Singida alafu elekeeni Zenjibar
 
Back
Top Bottom