USHOGA, ULAWITI, USAGAJI upingwe kwa gharama yoyote iwayo.View attachment 2539078
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji...
Wanatakiwa waandamane kupinga yaliyo kwenye katiba na sheria za nchi na bado yanavunjwa ama hayatekelezeki. Huwezi kuandamana kupinga negativity yenye haipo ni bora uandamane kuhitaji positivity yenye haipo let's say katiba mpya nk nkWameshindwa kupinga ufisadi wameamua kupinga mikundu ya watu! Duh.
Alhad Mussa hawezi kuhudhuriaView attachment 2539078
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji...
Unajua maana ya ufisadi wewe?Wameshindwa kupinga ufisadi wameamua kupinga mikundu ya watu! Duh.
Mashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?Haya maandamano ya BAKWATA ni maandamano yasiyo na kichwa wala miguu. Nani anayapokea? Wanamuonesha nani? Ingeleta maana kama wangeyaelekeza kwenye...
Nyuma yao mnafanya niniTupo nyuma yao mkuu
mtaweza wapi nyie? Tulieni tu huu muziki kwa nyie hamtauweza. Tena mnakosea sana approach ya kupinga. Bora mgebaki huko ndani ya majumba yenu ya kuabudia mpinge huko. Huku nje mashoga wanawachora tuMashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?
Umesikia wewe unayeteswa na Islamophobia kila siku?
Kwenye jamii ya watu waliostaarabika lazima machafu yapingwe,hutaki meza Tofali.
hamezi mtu tofali. Mnakurupuka sana, kwani nyie na hao wanao impose ushoga duniani ni nani amestaarabika? Nchi zinazounga mkono ushoga ndizo zimestaarabika kuliko nyie.Mashoga watapingwa kwa njia yeyote ile?
Umesikia wewe unayeteswa na Islamophobia kila siku?
Kwenye jamii ya watu waliostaarabika lazima machafu yapingwe,hutaki meza Tofali.
View attachment 2539078
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.
---
Pia soma
- BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo
View attachment 2539048
View attachment 2539068
View attachment 2539077
Baraza kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata ) Mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.
Aidha Bakwata Mkoa wa Mwanza, wamesema wamepokea na kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt, Abubakari Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali matendo yote haramu
Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke ameishukuru Serikali kwa umakini wake wa kuchukua hatua za haraka pale tu inapobaini kuwepo na ulazima wa kupiga marufuku kuendelea kutumika kwa vitabu visivyo faa katika shule zetu nchini
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Alhaji Nuhu Jabir Mruma amelipongeza Baraza Kuu la Waislam Mkoa wa Mwanza kwa kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali viendo vyote haramu.
Mzawa
Wacha wapelekewe motoNakuambia hivi acheni unafiki mashoga wamejaa kwa sababu nyie Ndio mnaowasalandia
Tunapinga huo ufirauni.Nyuma yao mnafanya nini
Simameni mbele yao na sio nyumaTunapinga huo ufirauni.
Jamaa mmoja kanisimulia aliamua kujaribu kuchomeka baada ya kushawishiwa na wenzie, akaneleza utamu aliopata hatawahi acha anadai joto la kule kusini ni kali sana huchukui dakika tano hujamwaga razi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Baeleze!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oyaaa! shimo la tunu!Jamaa mmoja kanisimulia aliamua kujaribu kuchomeka baada ya kushawishiwa na wenzie, akaneleza utamu aliopata hatswahi acha anadai joto la kule kusini ni kali sana huchukui dakika tano hujamwaga razi
Nikijaribu nitakuja na maelezo kamiliNa wewe unasemaje?.
Twende tukazing'oeeWaelekee kule hospital sasa wakang'oe zile bendera za upinde wa mvua, km kweli wanamaanisha uislamu ndio unapinga ushoga kidhati nendeni mkang'oe zile bendera za mashoga
Wewe tangulia wewe si ni muislamu Safi wewe, unapinga ushoga kwa dhati haya tangulia ukang'oe zile benderaTwende tukazing'oee