Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je binti yako utakuwa tayari aanze lambwa na umri huo?Ni sawa tu..mtume mwenyewe alioa binti wa miaka 9
Watu wanatafuta bikra kwa tochiKifungu cha sheria hii kibadilishwe ili angalao umri uwe 16+
Hahahah pole sana aiseeNaunga mkono hoja
Bikra siku hizi ni zakutafuta Kwa tochi
Labda tutaziwahi
Halafu huyu wa umri huu anakuwa katoka tu kumaliza la saba, au yupo form twoYaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo?...kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama?...na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
We unapanga maisha na mtoto wa nn?Miaka 14 unapanga naye nini maisha?
Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo?...kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama?...na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Umri wa miaka 14 ni ubakaji je hujawahi kusikia mtoto wa darasa nne kapata ujauzito? Huyu atakuwa na umri gani?Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha
Kuoa na kumuingilia ni vitu viwili tofauti,hata chini ya hapo mila za zamani walioa kabla ya Sheria za ubakaji.Ni sawa tu..mtume mwenyewe alioa binti wa miaka 9
Uliolewa na mingapi?Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?
Kwa hiyo akipata ujauzito Ndio uhalalishe ni halaliUmri wa miaka 14 ni ubakaji je hujawahi kusikia mtoto wa darasa nne kapata ujauzito? Huyu atakuwa na umri gani?
Kwani katiba inasemaje?Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo?...kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama?...na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Watafungwaje wakati Serikali na dini zimekubali?
Mtaani kwangu kuna darasa la 6 mapepe vibaya mno
Umri nilionao na level ya elimu dunia ambayo ninayo utanidanganya mengine ila sio hili...sawa Faiza...Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?