BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Miaka 14 unapanga naye nini maisha?
Mwanamke yupo Kwa ajili ya kufuata maelekezo. Under traditional rules mwanamke hana ndoto badala yake anatimiza ndoto za mwanaume wake.

Na ni kupitia mfumo huo ambapo ndoa zilikuwa zinadumu after arranged marriage. Unataka utegemee mawazo ya mwanamke kutoka kimaisha? Utachelewa sana kama hautokwama kabisa.
 
Kuoa na kumuingilia ni vitu viwili tofauti,hata chini ya hapo mila za zamani walioa kabla ya Sheria za ubakaji.
Walioa wakiendelea kuishi kwa wazazi wao hadi umri uliporuhusu wa kuingiliwa ndipo wakaenda KWA waume zao.
Walichumbia kwa tafsiri ya kuoa.
Huwezi muingilia binti wa miaka 9 itaingia vipi sasa.
Kabla ya shule miaka 14 waliolewa vijijini.
Huenda Bwakwata ya leo iko vijijini. Ila concept ya kuolewa ni pana. Kama kweli muoaji ana uhakika wa kumtunza miaka mingi ijayo.

Waislamu wanaona ni vibaya mno kwa mtoto wa kike kuwa malaya. Ila wa kiume kuwa muhuni hawazingatii sana.
 
Huenda Bwakwata ya leo iko vijijini. Ila concept ya kuolewa ni pana. Kama kweli muoaji ana uhakika wa kumtunza miaka mingi ijayo.

Waislamu wanaona ni vibaya mno kwa mtoto wa kike kuwa malaya. Ila wa kiume kuwa muhuni hawazingatii sana.
Thus Wanataka aolewe fasta akiwa bikra kabla bodaboda awajafungua njia
 
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.

Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia
 
Sasa mtoto wa kwako, unasubili upewe kibari na mahakama, bakwata Ili aolewe!

Kwanza hakuna waziri, mkuu wa wilaya, mkoa, mtumishi wa umma, mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14, hata 18!. Umri huo mtoto Bado yupo chuo kikuu,au secondary,wale wa kishua ndio kwanza Bado anqcheza video game nyumbani!

Hizi sheria zinafanya kazi kwa watoto wa maskini, mafukara wasiojiweza, unakuta sheikh kakapenda kabinti, ambako wazazi wake ni choka mbaya, anatoa mpunga anaenda kukarukia.

Hivi mzazi mwenye akili timamu, unaozaje Binti wa miaka 14!

Utasikia shule imemshinda!!binadamu Wana vipawa vingi sana, hata Elimu rasmi ikimshinda, zipo Elimu zingine
 
1679648308477.png
 
Bakwata wao akili zao zimeishia kwenye mbususu na talaka,sasa wanataka hadi vitoto vidogo vipelekewe moto kama alivyofanya mtume wao,abusrd
Utakuta mtu msomi kama Prof Assad na yeye anaunga mkono huu upuuzi, ila yeye mabinti zake, mpaka wa umri wa miaka 30 wapo nyumbani au wanajitegemea na mzazi Wala hawakazimishi kuolewa, anawapa msaada wajikuze kielimu na kifedha.

Hizi sheria za bakwata ni kwa mabinti wa familia choka mbaya tu,Ili kuvipiga pipe vibinti vyao,visivyo na akili, vinawekwa ndani, kazi yao ni kuoga, kupika, kujiremba na kutembezewa rungu tu! na akikutana na Basha kama mie, mpaka msambwanda unaliwa
 
Sasa mtoto wa kwako,unasubili upewe kibari na mahakama,bakwata Ili aolewe!
Kwanza hakuna waziri, mkuu wa wilaya, mkoa, mtumishi wa umma,mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14!hata 18!, umri huo mtoto Bado yupo chuo kikuu,au secondary,wale wa kishua ndio kwanza Bado anqcheza video game nyumbani!...
We umesema kweli ni vitoto vya maskin matajiri hugusi mtoto wao
 
Back
Top Bottom