Exactly [emoji817]Sasa mtoto wa kwako,unasubili upewe kibari na mahakama,bakwata Ili aolewe!
Kwanza hakuna waziri,mkuu wa wilaya,mkoa,mtumishi wa umma,mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14!hata 18...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly [emoji817]Sasa mtoto wa kwako,unasubili upewe kibari na mahakama,bakwata Ili aolewe!
Kwanza hakuna waziri,mkuu wa wilaya,mkoa,mtumishi wa umma,mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14!hata 18...
Masheikhe waache ulafi!Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.
“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.
Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.
Mjumbe asiuawe
=======
BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.
Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.
Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.
Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.
Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.
“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.
Chanzo: Mwananchi
Mapepe akiolewa itasaidia kutulia?Watafungwaje wakati Serikali na dini zimekubali?
Mtaani kwangu kuna darasa la 6 mapepe vibaya mno
Halafu huyo mwanasheria hawezi kukubali binti yake aolewe akiwa na umri huoYaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Khhha..Utakuta mtu msomi kama Prof Assad,na yeye anaunga mkono huu upuuzi,ila yeye mabinti zake,mpaka wa umri wa miaka 30!wapo nyumbani,au wanajitegemea,na mzazi Wala hawakazimishi kuolewa,anawapa msaada wajikuze kielimu na kifedha.
Hizi sheria za bakwata ni kwa mabinti wa familia choka mbaya tu,Ili kuvipiga pipe vibinti vyao,visivyo na akili,vinawekwa ndani,kazi yao ni kuoga,kupika,kujilemba,na kutembezewa rungu tu!na akikutana na Basha kama mie,mpaka msambwanda unaliwa
Kama ni binti yangu wa miaka 14 umlazimishe umuoe hata kwa kumsomea albadiri ujue kwangu bado ni ubakaji. Nikishindwa kukushughulikia kisheria nitatumia njia nyingine kukumalizaBaraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Una maanisha zile za peponi hazitutoshi? au tunataka zote za mbinguni na duniani?Naunga mkono hoja
Bikra siku hizi ni zakutafuta Kwa tochi
Labda tutaziwahi
WE SAMIA USITUVURUGE. TUNAOMBA SHERIA ZA NCHI ZIFUATWE.Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?
Nakubali sisi Watanzania wengi huwa wavivu wa kufikiria hata jambo liwe dogo kiasi gani, na huo ni ujinga , hivi unasema asiolewe ili hali anafanya machafu na watu wazima wa kila rika?Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe...
HIZI NI AKILI ZA TUNDA LA KIMASKHARA.We unapanga maisha na mtoto wa nn?
Kazi yako ni kukatomba tu mpaka kakue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Bakwata wao akili zao zimeishia kwenye mbususu na talaka,sasa wanataka hadi vitoto vidogo vipelekewe moto kama alivyofanya mtume wao,abusrd
... hata hao maustaadhi wenye elimu zao sioni wa kuruhusu mwanae aolewe at 14! Wanacheza na akili za wajinga wasiojielewa! Eti binti wa SSB au wa mama aolewe at 14! Thubutu!kama ni binti yangu wa miaka 14 umlazimishe umuoe hata kwa kumsomea albadiri ujue kwangu bado ni ubakaji. Nikishindwa kukushughulikia kisheria nitatumia njia nyingine kukumaliza
Hii ni huzuni.Hizi sheria za bakwata ni kwa mabinti wa familia choka mbaya tu,Ili kuvipiga pipe vibinti vyao,visivyo na akili, vinawekwa ndani, kazi yao ni kuoga, kupika, kujiremba na kutembezewa rungu tu! na akikutana na Basha kama mie, mpaka msambwanda unaliwa
Ni kweli wote wanaomaliza la Saba(miaka 14) huendelea na masomo!?..wanaokwama kusoma wafanyeje!?..wapate uzoefu wa ngono mitaani mpaka watapofika miaka 18!?Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.
Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Kwamba wote wamalizao la Saba huendelea na sekondariHalafu huyu wa umri huu anakuwa katoka tu kumaliza la saba, au yupo form two