BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Ukija huku kwenye Real World huyo wa Miaka 14
Mfanye mkeo aende shule uone moto wake.
 
[emoji3581]
 
Imesimama njoo ukalie
 
Kuwa muelewa hiyo sheria halazimishi kuozesha
 
Wengi uwezo wa kufikiri ni mdogo...samahanini kwa kusema ilo
Mkuu, hii jazba inatokana na ulivyokuwa indoctrinated ili usione mambo katika uhalisia wake. Ndio maana vitu vikizungumzwa katika uhalisia wake unahamaki.
 
Ila kufanya naye ngono na kumpa mimba na kumtelekeza ni sawa sio?
Sio kumpa mimba, ukibainika unatembea nae hata Kama haja Pata mimba makazi yako yanatakiwa kuwa mageza.
 
yenyewe inakopi kwa kumsingizia mtume wetu kipenzi kwamba aliowa binti wa miaka Tisa kwa hiyo inafwata suna ya mtume.kosa yote lakini usikose akili ya kujitambua wewe ni nani
 
Me sio Bakwata wala kkkt but I'm with Bakwata on this one.

If I have a daughter, kuliko kusikia ana ki boyfriend uchwara bora tuelezane kabisa amalize
form four aende chuo we help get her married...
 
Wakizalishwa mtaani wanasimama kama nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…