BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Ukija huku kwenye Real World huyo wa Miaka 14
Mfanye mkeo aende shule uone moto wake.
 
Haaaa mkuu bila shaka utakuwa na watoto wa kike ndo maana panic yako iko juu sana.

Mkuu mm bado ni kijana na hao mabinti zenu mnao waita watoto nimewashuhudia shuleni nipokuwa nasoma na sasa hivi nawashuhudia mitaani tena wao ndo wanao tutega ili tuwatongoze.

Unalizia kuwa nimefanya utafiti lini mbona umeniuliza swali la kijinga mkuu?

Kwahiyo maelfu ya wanafunzi wa primaly na sekondari wanao tangazwa na wizara ya elimu kuwa wamechishwa shule kwa sababu ya ujautizo huwa wana umri gani ?

Mkuu punguza hasira ww kuzaa watoto wa kike haiwezi kutukataza kuongea uhalisia uliko mitaani.
[emoji3581]
 
Akhasanta mdomo mali yako tukana mpaka uchoke likini ukweli utabaki kuwa ukweli tu,takwamu ya elimu inaonyesha watoto miaka 12,14,15 wapatao 6000 wamerudi shuleni baada ya kujifungua kafiri sifa yake ni kupinga ukweli uisilamu sifa yake kusema ukweli mtoto akisha vunja uongo sio mtoto tena bali ni mama kuolewa haki yake kafiri kila mtaa mawaona mnao waita watoto wakijiuza heti bado mnasema watoto bora kufa nikazikwa kuliko kuwa kafiri (mkiristo)
Imesimama njoo ukalie
 
Hatufanani. Kila mmoja yuko kivyake. Sasa wale ambao hawako sawa, wasitumike kuwakosesha nafasi walio sawa. Nawe nikuulize, UMESHAKUTANA NA BINTI AMBAYE KICHWANI YUPO VIZURI SANA..!!?? Kama jibu lako ni ndiyo, kwanini huyo asitumike kama mfano kwa wengine kuendelea na shule badala ya kuolewa wakiwa na umri wa miaka 14? Kwa maneno mengine, kwanini aliyeharibika atumike kama mfano wa wengine na ambaye hajaaribika hatumiki kama mfano?
Kuwa muelewa hiyo sheria halazimishi kuozesha
 
Wengi uwezo wa kufikiri ni mdogo...samahanini kwa kusema ilo
Mkuu, hii jazba inatokana na ulivyokuwa indoctrinated ili usione mambo katika uhalisia wake. Ndio maana vitu vikizungumzwa katika uhalisia wake unahamaki.
 
Ila kufanya naye ngono na kumpa mimba na kumtelekeza ni sawa sio?
Sio kumpa mimba, ukibainika unatembea nae hata Kama haja Pata mimba makazi yako yanatakiwa kuwa mageza.
 
yenyewe inakopi kwa kumsingizia mtume wetu kipenzi kwamba aliowa binti wa miaka Tisa kwa hiyo inafwata suna ya mtume.kosa yote lakini usikose akili ya kujitambua wewe ni nani
 
Me sio Bakwata wala kkkt but I'm with Bakwata on this one.

If I have a daughter, kuliko kusikia ana ki boyfriend uchwara bora tuelezane kabisa amalize
form four aende chuo we help get her married...
 
Anyway Mkuu nisingependa nicomment kuhusia na imani za watu ila ni suala la akili ya kawaida hivi mtoto wa miaka 14 kweli yupo tayari kwa changamoto ya kusimama kama mama au mke?...naamini hakuna mzazi mwenye akili yake timamu yupo tayari kumuoza binti yake wa miaka 14..NEVER...
Wakizalishwa mtaani wanasimama kama nani ?
 
Back
Top Bottom