Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mimi naamini mtoto akifika 17 aolewe, haya mambo watu wa miaka 35+ kufunga ndoa ndio yanaleta uzinzi tu.
Ndoa inapendeza kuwa mapema kabla vijana hawajaonja onja,
NB
Sijapinga wala kukubali umri unaopendekezwa na ma sheikh
Ndoa inapendeza kuwa mapema kabla vijana hawajaonja onja,
NB
Sijapinga wala kukubali umri unaopendekezwa na ma sheikh