BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Nadhani hawa watu wa BAKWATA watakuwa na hoja zao za msingi ambazo zinatakiwa kutolewa ufafanuzi. Pengine ni jambo ambalo limewekewa utaratibu ili lilete matokeo fulani na kuzuia jambo fulani.

Tusipende kudharau maoni ya viongozi wa kiimani. Mnakumbuka kipindi cha nyuma wazee wetu walikuwa na utaratibu wa namna ya kuishi na Mke sisi tukaja na hawa wanaharakati na hoja zao za Beijing tukasema mila za kiafrika ni kandamizi zinamuonea mwanamke tukashabikia mwanamke kuwa huru kimaamuzi kufanya atakalo na kujiamulia.

Sasa leo tunajionea jamii yetu ina wanawake wa aina gani wamejaa. Sasa hili nalo tusilipuuze sababu ni yale yale ya wanaharakati kutaka kutuletea umagharibi katika maisha na tamaduni zetu.

Tuwe na subira tuwasikie viongozi hawa wanaelekeza nini. Hiyo tafasiri ya kusema mtoto wa miaka 14 kuolewa je imemaanisha kuwa kila mwanaume awahi binti wa miaka 14? Kwan ndicho kitu walichoelekeza, unajua tusipende kuwa na mihemuko kwenye maswala ya kisheria.

Tusijeweka sheria ambayo itakuwa kuwa na faida kidogo na hasara kubwa. Hawa ni viongozi wa dini, kwamba watakuwa wanaelekezea jamii kupotoka au kuipoteza jamii?!

Hebu tusikuze mambo tusikilize tafasiri ya kile ambacho wao wanakiona au kukiongelea sio kutumia maneno ya kutisha au kufurisha hasira kwenye jamii kuelezea jambo ambalo halitaki sana ukorofi.
Maelezo mengi ila nikurahisishie

Wanafuata Sunna ya Muhammad alioa mtoto wa miaka 6 na akamuingilia alivyo fikisha miaka 9

Na Kuna nchi za kiislamu zinafuata hivyo , ndio unaona wanaona angalau 14 sio mbaya
 
Si mzazi unakataa?
Kwani binti yako akitaka kunywa pombe au kuvuta sigara utamkubalia? Si utamwambia hapana?

Kinashindikana nini kumwambia binti hapana, subiri utaolewa ukiwa mkubwa?

Kwa hiyo binti yako wa miaka 9 naye akikuambia anataka kuolewa wewe utamkubalia? Hutamwambia hapana?

Hivi nyie wavaa kobazi mbona mnakuwa wapumbavu hivi?
Sheria ya ndoa limetunga bunge baada ya kujiridhisha kuwa mtoto wakike akisha fikia miaka husika kwa usimamizi wa mahakama aweza olewa hata sasa walioko mitaani wakijiuza pamoja na wewe bikizee ni hao miaka 12 13 14 hata walio pigwa mimba mwaka huu walio rudi shule na vichanga ni umri huo sijui mapovu unatoa ya nini au unafurahika makahaba mnavio ongezeka
 
Na hili ndilo swala ambalo wengi hawajiulizi, kuwa hawa viongozi wa kiimani watakuwa na ajenda ya kuharibu jamii na kuidhoofu?!
Wanachotaka ni Sunna kutoka kwa Muhammad
Alioa mtoto wa miaka 6 akamuingilia alivyofikisha miaka 9 , ndio umeona wameona hiyo 14 haiko mbali Sana , maana wanajua wangependekeza 9 wangedharaulika na jamii
 
Miaka 14 ndio wanao nyonyesha unasema ni watoto?kukataa kwako ukweli akumfanyi binti miaka 14 anae nyonyesha kuwa mtoto
Wewe nimekwambia adhabu Yako tukikukuta na mtoto ni kukuta makende na sime ,
 
Wao hudhani watoto ni WA majirani au wa watu wengine, wamesahau nao wanaandaa future ya mabinti zao, wasome na wake wajikomboe kimaisha , hivyo unavyotoa matamko kwa kufuata tamaduni za kale za kiarabu zilizoandikwa kwenye kitabu unachokikariri na kuacha tamaduni zako kumbuka kuwa una vibinti na vijukuu vya kike, halafu kesho unakutana na jitu zee linamadevu kama Osama limemsimamisha njiani eti linamtonhoza au linamchumbia. Lazima tuwatetee watoto na wajukuu zetu wasiharibiwe Maisha na watu wasio na hekima
Wewe tamaduni zako zilizo andikwa kwenye kitabu chako mtoto wa kike akisha vunja uongo kinacho fatia nn?
 
Mimi ni bora nichinjwe tu kwa kisu butu, kuliko kua muislamu. Dini gani hii ya mabazazi ambayo kwenu ngono ndio kipaumbele hadi kwa watoto?

Mtume wenu akaoa katoto ka miaka tisa (ingekua leo, tungemtandika viboko hadharani), magaidi yenu yanaua watu kwakua yamepewa ahadi ya bikra saba huko akhera. Na sasa mnataka sheria za nchi ziruhusu ubazazi wenu kwa watoto.

Mkivibaka vitoto vyenu huko madrassa inatosha. Nikikukuta anywhere near my daughter na midevu yako, nakufyeka shingo!
Ulipo wewe kahaba sema polepole tunakujua kila mwanaume anae simamisha anapenda hiyo kitu labda wewe khanithi kama mtume Paulo
 
huu ndo upuuzi wa kusema mahakama ni chombo huru sijui taka taka ganiii...sasa sheria ya kingese kama hii serikali kuifuta mpaka waanze kusumbuana na mahakama no wonder kenya wanapitisha ushoga kisa mahakama zilizojaa WAAFRIKA WENYE NJAA WAPUUZI.
Wewe sio muafirika sio
 
Atakayeolewa mipaka 14 hayupo shule mzee,wa shuleni haoleki kwa mujibu wa Sheria,je mabinti wote tz wenye miaka 14+huwa wapo shule!?..Kama hawapo hufanya nini mtaani,hawaleti watoto wa mitaani!?
Huu mjadala unahitaji utulivu wa hali ya juu sana kujadili.
 
Tatizo BAKWATA unaingizwa na watu wasio na elimu.
Kibaolojia mtoto wa miaka 14 hajawa tayari kuzaa salama, lkn pia mtoto huyo hajamaliza masomo ili atimize ndoto zake. Mtoto wa 14 hata 18 utaongea nae kitu gani Cha kuwaendeleza kimaisha ?
Masheikh mkikaa mnawaza ngono tu. Njooni na kitu Cha kujenga Kama kujenga shule, vyuo , hospitali nk. Mpaka Sasa Bakwata haina hospitali yenye hadhi hata ya Mwananyamala.
Up your game.
Mwaka huu 2023 mabiti wapatao 6000 wenye miaka 14 13 ndio walio ludishwa shuleni kwa huluma ya mm samia,mpumbafu ni yule anae shindana na maumbile ya mungu kama kanisa heti padri asioe maisha matokeo yake ni kufira watoto na wao kuwa mashoga
 
Kwa hiyo kama hasomi ina maana ndiyo last option ni kuozwa tu? Huko ni kukwepa majukumu ya watoto tunaoamua kuwaleta wenyewe duniani bila hiyari yao.

Pili, kwa hiyo kila linafonywa na wenzetu nasi tuige? Na huoni mfano wako na watu wa Japan hauna tija, unafananisha upeo wa wajapan na taifa lenye wajinga zaidi ya 80%? Kweli kabisa?
Hacha kujitoa akili wewe mtoto maisha anza kutokwa damu kila mwezi kaja mtu kumuoa usimuozeshe hili umlala wewe au
 
Gusu mtoto nikukute kijana ndio utajua sime inamakali kiasi gani ikipitia makende
Hahahahhaha hata muwe milioni nina wake wawili hivi ninavyo zungumza na wewe na mmoja ana miaka 17 katimiza jana pumba wewe mnaongea humu mitandaoni lakin uhalisia on ground mambo yanaendelea kama kawaida

Na wake wote wako na furaha

Bikira maria anakusalimia

Karibu futari iliyo shiba kuna kila kitu
 
Back
Top Bottom